Mimi ya kwangu bado iko vizuri sana na kwa kweli simu haina mchubuko wowote kwenye glass. Ninavyoitesa hii simu ingekuwa zile za kwanza ingeshaonyesha michirizi, japo ni mwezi nadhani wa tatu tangu nimeweka. Silalamiki kwa kweli
Nani aliyesema kuwepo kwa vitisho au sheria husaidia kupunguza uhalifu? Ni vema kuangalia visababishi vya tatizo, namna ya kukabiliana navyo na so vitisho na sheria kal
JF-Expert Member
#1
Today at 12:48 AM
"Tukiwa kwenye vikao ndani ya bunge Mimi ndo nachagua nani azungumze, mkimchagua Mtulia kuwa mbunge, akinyoosha mkono tu nitakuwa nampa nafasi kwa sababu atakuwa ni mwenzetu sio kama wale wanaomaliza mda kwa kuishambulia serikali." Dr. Dada kwenye kampeni za...
Mwezi Julai waliposema wanaondoa road licence kwa wenye magari kuna watu walifurahi. Si mimi kwa kiwango kile kwani nilijua wanataka kutoza zaidi kwa kuweka kwenye mafuta.
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu ajali za barabarani kutopungua kwa kuongeza idadi ya askari wa barabarani kwani mtazamo...
Pole ndugu,
hili tatizo ni kubwa na polisi wanapenda sana huo mchezo. Wanapata wapi kiburi mimi sijui lakini hawahusiki kwa namna yoyote na usalama wa barabarani bali wanachofanya ni ujanja (wizi) wa nguvu kwa fedha za wananchi. Alama za barabarani hazipo zinapostahili kuwepo na askari wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.