Nasdaz
Nyerere alifanya mazuri kwa wakati wake.Kwa mfano nyerere ametujengea misingi ya amani na umoja tunaojivunia mpaka leo.La sivyo Tanzania ingweweza kuwa kama Kongo mana ina ardhi na madini yanayoweza kupiganiwa na nchi nyingine ndani ya ardhi yetu .Sawa huenda alikuwa na madhaifu yake na...
Kwa mawazo yangu azikwe Marangu.
Kwa sababu inawezekana kweli alikuwa na ugomvi na baba yake lakini Mzazi hataki kuendeleza ugomvi huo tena na anataka mtoto wake azikwe nyumbani .Sasa marehemu hayupo lakini watu wengine walioko hai wana haki ya kuunganisha familia sio kuendelea...
Ulitaka serikali ikawashike mkono waislam na wahindu iwaambie njooni tuweke makubaliano ya maridhiano? Cha msingi hizo taasisi za kikristo hazifunngwi kuingia makubaliano na serikali pia kadhalika hawanyimwi.Na makubaliano sio kurudisha shule maana hata wakristo shule zao nyingi bado...
Mwanakijiji umeandika vema ,Hongera! Tatizo ninaloliona ni philosofia ulioitumia kwani upeo wa hii thread unaweza kuwa juu sana kwa vichwa vya panza ( visivyofanya tafakuri pana ) vitaishia kutokuelewa na pengine watukane .La kufurahisha ni kwamba kwenye JF tunataka mada pana na za kichambuzi...
Tatizo la muungano wetu ni watu kutoachiwa kuongea yote ili tatizo lionekane liko wapi .Pengine wazanzibari wanajua Historia vizuri! Jumamosi katika kipindi cha Star TV ambapo walikuwa wanajadili mambo ya Muungano ,Mzanzibari mmoja alipiga simu akasema '''Wakati ule nakumbuka vizuri kwamba...
MOJA WA JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU ZANZIBAR TAMKO LA JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAMU ZANZIBAR JUU YA HALI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA
MAADHIMISHO YA SIKU YA MUUNGANO WA
TANGANYIKA NA ZANZIBAR APRIL 26, 2011 LEO TAREHE 25/4/2011
Shukrani zote ni za Mwenyezi Mungu Muumba wa mbingu na...
Joblube,
Unaonekana kukaa chini na kujaribu kujenga hoja zako japo zimegoma kujengeka .CCm hawajamfukuza fisadi yeyote na walichotoa ni siku tisini.Usitake kusema CCM wamefanya jambo jema na wanastahili pongezi cha msingi ni kutafakari wamechezea maisha yetu kwa kipindi kirefu kiasi gani.
Dr...
Hii sio hoja ya msingi.Zitto ametakiwa kutoa maoni yake na akayatoa .kwa uhalisia wake maoni ya zitto dhidi ya Shitambala ni ya kweli .Unasema unaushahidi so post yako siyo ya kujadili bali ni ya kuipuuza
UVCCM chini ya makamu mwenyekiti wao walikuja na siasa za kujibu,wakawajibu Fredrick Sumaye na Samwel Sitta . Hatua hii ya kujititimua kuwajibu sio tu kwamba imewashushia hadhi yao bali pia imewafanya wakaonekana wakosaji mbele ya Wana CCM wenzao na watanzania kwa ujumla ambao bado wanawapa...
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza nini maana ya mfumo mpya wa dunia ? (New world order). Kwa kutamka tu unaonekana ni mkakati wenye tija na una lengo la kutafuta ubinadamu wa kweli kati ya binadamu. Lakini kiuhalisia na hasa ukizingatia mkakati wake wa hawa watu wa ulaya kututawala ,basi mfumo huo...
This nation cant prosper coz it only favours the prosperous . Chami anajaribu kutueleza janja ya kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi kutengeneza faida .Anaacha kujadili mantiki ya kutumika kwa janja hizo kwenye mazingira watanzania waliyonayo . Kama hao Tanganyika planatation wanahodhi tani...
Ni sawasawa na kusema kwamba,binti amebakwa akapata mimba.Yule mtoto atakaezaliwa atapokelewa na jamii lakini jamii itaendelea kuhoji mchakato uliotumika kupata huyo mtoto
Watu wanakabiliwa na matatizo mengi,hawaendi kumlaki kwa sababu wanajua fika Dr Bilal hataongea lolote litakaloleta ahueni kwenye mustakabali wa maisha magumu ya Mtanzania kwa sasa . Hawataki propaganda tena .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.