wakuu naomba ushauri wenu wa kisheria juu ya huyu mdogo angu ambae ni muajiriwa wa taasisi ya umma, alijaza mkataba wa mkopo kutoka taasisi fulani na maafisa wa iyo taasisi akaambiwa kipengele cha deni kuu na muda wa mkopo kuisha utajazwa baada ya kuongea na mwajiri wake lakini cha kushangaza...
Wakuu naandika huu uzi nikiwa na majonzi makubwa sana, naomba niende moja kwa moja kwenye mada
mwezi wa 8 tarehe 15 mke wangu alijifungua kwa shida sana katika hospitali ya serikali kwa njia ya mkasi, kutokana na uzembe wa madaktari kuchelewa kumfanyia operation kwa haraka, mtoto alimeza maji...
Wasifu wangu
Umri: 28
Dini: mkristo
Kazi: Nimeajiriwa
Natafuta mpenzi baadae awe mke umri kuanzia miaka 26 kushuka chini , awe ameajiriwa au awe na shughuli ya kumuingizia kipato, atokee mikoa ya pwani au kanda ya kaskazini
Aliye tayari ani pm
Wakuu mimi ni kijana niliyeajiriwa. Nimebahatika kupata msichana aliyeajiriwa serikalini, tunaishi pamoja huku tukipanga kufunga ndoa hapo baadae.
Mishahara yetu inafanana kwa kiasi kikubwa(500,000). Tatizo langu wadau ni kwamba inapofika mwisho wa mwezi huwa natoa mshahara wangu wote kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.