mkuu ungeweka picha ingekuwa nzuri zaidi.
Na kama mtu anachukua wengi mfano 10 na kuendelea bei inakuwaje.
Pia naomba kujua nguruwe walipo, maana moshi kubwa
Mkuu Lumumba,
Nashukuru kwa uhamasishaji wako mzuri. Nania ya kuwekeza kwenye korosho kuanzia eka 30 mpaka 100 kwa lengo la kupanda kila mwaka sio chini ya eka 20 kama Mungu akinipa nguvu.
Naomba kujua mambo yafuatayo mkuu;
1. Wapi panafaa kwa uwekezaji huu kati ya Lindi na Mtwara (hapa...
Naona watu tunajibu swali gumu kwa hoja nyepesi sana ambazo hazina mashiko.
Wote tunapenda mabadiliko kwa manufaa yetu na vizazi vinavyokuja, ila swala la E.L kuingia Chadema limeleta sintofahamu kubwa sana.
e.g Mnyika kupotea na kurudi zimetolewa kauli zenye kijikanganya sana;
- Mara...
Wakuu dola imeshuka kutoka $1=2400 mpaka sasa imefika $1= 2000. Hii ni mpaka Leo jumapili tarehe 28 June 2015. Natumaini itaendelea kushuka kama sio nguvu ya soda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.