Aliyemteka Dk Ulimboka akamatwa, atinga kortini
Saturday, 14 July 2012 07:28
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Suleiman Kova
ADAIWA KUWA NI RAIA WA KENYA, ALIKODIWA
Waandishi Wetu,
RAIA wa Kenya, Joshua Mulundi (21) amekamatwa...
Wewe Imani Kondo mbona unakua sio muungwana kiasi hicho.ukienda kwenye page ya MAT facebook unajidai unataka kusaidia interns, kumbe mnafiki tu unataka kutumia huu mgogoro kwa manufaa yako ya kisiasa.Unanisikitisha sana sana.Your too ambitious, uko hata tayari kuuza utu na proffession...
Madaktari wanakatwa kama kawaida, tofauti ni kuwa wanapata mkopo 100%.
Hiyo habari kwamba wanasomesha bure ni propaganda dhaifu za magamba na makuwadi wao
MGOMO:Madaktari 319 wafutiwa leseni
Waandishi Wetu
BARAZA la Madaktari Tanganyika limewafutia usajili madaktari wote waliokuwa katika mafunzo ya vitendo (Internship), baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mgomo wakiwa kazini.Taarifa ya Baraza hilo iliyotolewa Dar es Salaam...
Imani Kondo 'Zemacopolo" wewe daktari mzima unakuwa mnafiki.Unaelewa nini kilichojadiliwa, halafu unasema haujui contents.Unalipwa na nani kuirudisha nyuma harakati hizi muhimu?Au sababu ulisomeshwa bure Czech?
Imani Kondo 'Zemacopolo" wewe daktari mzima unakuwa mnafiki.Unaelewa nini kilichojadiliwa, halafu unasema haujui contents.Unalipwa na nani kuirudisha nyuma harakati hizi muhimu?Au sababu ulisomeshwa bure Czech?
Hiyo ni fungus ya ukeni(vaginal candidiasis)
Cause: Recent use ya strong antibiotics, ikaangamiza normal bacteria flora wa ukeni na kusababisha excessive growth ya fungus:
Tiba; Clotrimazole pessaries{anti-fungal za kuweka ukeni} wakati wa kulala, kwa siku sita.
Kinga: Epuka kusafisha ukeni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.