Hebu tusomee na utuandikie hapa watts za hiyo tv, kipaza sauti, na hiyo speaker(watts za speaker usisome palipoandikwa PMPO, soma palipoandikwa RMS. Wachina ni wajanja sana kwenye lugha zao za kibiashara. Watts kwa RMS value ndo sahihi kwa calculations za speaker na pia kama mtengenezaji ni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hizo ndo zile speaker za kichina ambazo ziko na amplifier zake ndani ya box. Yaani utaona maandishi ni makubwa, eti 30,000w wakati Kiuhalisia ukipima hata mfumo wake wa umeme haukidhi kuzalisha hata watts100. Hata ukiamua kupima physically na kufanya...
Mkuu, yaani hapa hakuna kupindisha maneno. Huo mkopo ndani yake una riba ya asilimia 80 na sio salama kwa uhai wako. Achana nao, usijaribu kuthibitisha kama sumu inaua kwa kuinywa kabisa!...
Mkuu, mbona hiyo milioni 40 ya juu ni riba ya asilimia 80 ya huo mkopo unaotaka kuuchukua? Kama riba ni asilimia 16 ilitakiwa jumla ya pesa unayohitaji kuirudisha iwe ni shilingi milioni 58 kwani asilimia 16 ya shilingi milioni 58 ni shilingi milioni 8. Au mimi ndo sijaelewa hapo? Hiyo milioni...
Amina mkuu, ubarikiwe kwa wema ulioutenda. Kwa kawaida maisha haya tunayoishi hatuwezi kujua kesho yetu itakuaje na ni Mungu pekee ndo ajuaye kesho yetu na anatulipa kwa wema tunaoutenda hata kama ni kidogo kwa namna ya pekee kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.