bajeti ya ahly ni dola milion 100+ kwa mwaka!
hizo dola mil 50 wala haziwafanyi wao kuwa bora zaidi kutuzidi,
afrika hii timu zijitahidi kufanya scouting, wachezaji wazuri ni wengi sana!
simba na yanga ingekua zinajiendesha kisasa zina uwezo wa kutengeneza mapato zaidi ya 20b kwa mwaka, kiasi...
hivi Napoli siku hizi wanatumia kikosi b au ni kile kile cha kwanza?
wanafanya hii kazi iwe ngumu kila siku, kana wanafungwa bora wawe wanafungwa mengi sio kagoli ka 1 yu[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
mkuu inaonekana kuna vitu vingi hujui,
amerika ya kaskazini yote, australia na hio israel kote huko hao ni walowezi wa kiingereza,.... pale amerika ya kaskazini wameua sana wenyeji ili wao wamiliki ardhi ile, kule australia pia wameua sana wenyeji, wale unaowaona ni walowezi wa kiingereza!
hao...
bahati mbaya unaweza shinda ligi ila usishiriki AFL...... imagine azam ashinde nbc pl, hawezi shiriki AFL
kiukweli CAF ya Motsepe inalenga kuua ligi za ndani, ndio mana ulaya walikataa hii kitu, hili shindano la AFL litakufa ndani ya miaka 5 ijayo! vilabu vingi vitapiga kelele.......
soka la...
kwani kuna wanaume huwa hawawezi kuwanunulia wake/wapenzi wao chuki, tight na bra kweli......?
mke wangu huwa namnunulia hadi pads, na wala sioni aibu......
huyu mama mauchafu yake watu wanayatumia kum-blackmail, ndio mana watu wanajifanyia wanavyotaka na hana cha kuwafanya!
hujiulizi kwann waarabu wanamfanya watakavyo?
hivi zile anazotoa yule dada ni kashfa au ni siri za watu?
kama ni kashfa anakosea sana, lakini kama ni ukweli basi hana kosa, maana ofisi ile haipaswi kukaliwa na.mtu anaefanya yale!
toka klop atangaze kuondoka, game zetu zimekua na tension sana, ushindi wetu haujawa wa kuridhisha katika game nyingi tulizoshinda......
siku za karibuni ndio imekua chamgamoto zaidi, tumekua tukipata ushindi wa 'kubahatisha sana'
thank you jurgen, tutakukumbuka kwa mengi.....
kilichomsaidia mmarekani pia aliingia kwa kuchelewa, pia ww1 hakupigana!
dunia watabe wa vita tukiongea kiuhalisia ni uk, germany, france, russia na japan........ unaweza kumtoa france hapo, ila hao majamaa wa ulaya watatu na huyo mjapani wamepigana vita nyingi sana!
US ni mchumba tu, hajawahi...
alaska ni sea route, hata route ya finland sio nzuri kumvamia rusdia....
route rahisi na inayompa adui %age kubwa ya ushindi ni kuivamia russia kupitia ukraine TU...... ndio mana kwao ukraine ilikua ni redline, hawapo tayar adui aweke base zake ukraine, watapigana mpk kufa!
masahihisho,
heinrich himmler kuna ushahidi hakukamatwa, jamaa alitoroka,,,,
tafuta kitabu kinaitwa the 'unlikely dealth of heinrich himmler' , kitabu kizuri sana, hitler pia hakuna ushahidi kama aliuliwa/kujiua.... inaonekana alitoroka!
Russia alipigwa na japan baada ya kujichanganya kupambana front 2, afu logistic kutoka st Petersburg mpk mashariki ilikua shughuli sio ndogo, alikua na jeshi dogo eneo hilo.......
sema Russia ni nchi ya ajabu sana,
kuhusu Japan vijamaa vimefanya ukatili mkubwa sana pande hizo za Asia, China...
its too late kuimaliza Iran,
kosa lilikua ni kuitumia Ukraine kupambana na Russia....... hii imemlazimisha Russia kujenga ushirika na Iran,.......
yeyote atakayepigana na Iran kwa sasa atalazimika kupambana pia na Urusi, na ukumbuke hakuna nchi itakayoruhusu ardhi yake itumiwe kumpiga Iran...
huyu raisi ni mpuuzi sana,
unaingia kwenye vita (ambayo kulikua na uwezekano wa kuiepuka) kwa kutegemea misaada?
zele either ni puppet au hajui anachofanya!..... unajimwambafai kwa kutumia vifaa vya kupewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.