mkeka bet wako fasta sana kuweka na kutoa hela. ukitoa hela inaingia fasta sana less than 5 minutes. meridian inaweza chukua zaidi ya wiki tatizo la mkekabet bonus yao ndogo. sijajua kama meridian wanatoa bonus
nakushauri kama mtaalamu wa Michezo
Utangulizi
Suala la unene overweight kwa kjamii za watanzania kwa sasa imekuwa shida sana kwa sababu ya lifestyle yetu na vyakula tunavyokula. Watanzania wengi hawashiriki kwenye michezo kama watu wa nchi zingine na dhana ya kwamba mtu mwenye kitambi ndiye...
Siko hapa kukuharibia biashara yako ingawaje napenda nitoe ushauri kidogo kwa wana Jf na umma kwa ujumla.
ndiyo kuna madhara makubw sana ya kuwa na mafuta mengi mwilini na uzito mkubwa. Baadhi ya hayo madhara ni kuwa na obesity, magonjwa a moyo, kisukari, Bp, cancer, ugonjwa wa miguu etc...
inatakiwa ifike mahali mashabiki wa simba na yanga wakubali kwamba kwa sasa azam ni timu kubwa. zile zama za a two horse league kati ya simba na yanga na simba zimeisha
Binafsi nawashangaa sana wanachadema na Ukawa wanaolalamika wanaccm kuhamia ukawa.
lengo la Ukawa kumkaribisha ni kwa sababu walijua kwa influence ambayo lowasa anayo watapata wafuasi wengi kutoka ccm.
kwa kuwa ukawa wameishapitisha wagombea wao katika majimbo yote ina maana mtu anayehama...
mtoa mada inawekana haujui unachokiongelea hapa
huyo nyambui amekuwa katibu mkuu wa riadha Tanzania labda ungetueleza yeye kama kiongozi amefanya nini katika maendeleo ya mchezo wa riadha. amefanya training ngapi za makocha? ameandaa mashindano mangapi ya kitaifa au kimataifa nchini? amefanya...
watanzania wengi tunaongozwa na hisia bila kutafuta facts
Kila mpenda soka dunia nzima anajua FIFA ni taasisi ambayo imekithiri katika vitendo vya rushwa na wakawa wanajifanya wanajichunguza wenyewe na kusema hamna serikali inayoweza kuwaingilia. Najua wapenzi wa mpira duniani pamoja kwamba...
siko hapa kukuharibia biashara yako but Guys be warned
Matumizi ya madawa kupunguza uzito au manyama ya mwili ni hatari sana kwa afya yako
Njia salama ni kuwa makini na vyakula tunavyokura pamoja na kutumia muda mwingi kufanya mazoezi sahihi
EMT
heshima kwako
Liverpool msimu uliopita naweza kusema walifamya vizuri kwa sababu ya suarez na msaada wa sturidge ambaye ameumia.
magoli 30 au 20 ya suarez yangekuwepo msimu bado liverpool wangekuwa nafasi nzuri.
Liverpool kufanya vibaya namlaumu sana rodgers kwa sababu ya usajili wake...
mkuu upo sahihi mtoa uzi anawatuhumu wahindi utafikiri waafrika wenyewe ni watu wazuri.
mi nasema waafrika ni wabaguzi kupindukia. Umewahi kuwaona wakikuyu na wajaluo. hata meza moja hawakai
ukisafiri na watu wa west afrika ndio utaona wafrika walivyo wabaya. wanawabagua hadi waafrika kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.