Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya udokozi sana huko Tarime. Siku moja jamaa alivunja mlango na kuingia kwenye nyumba moja. Akaingia stoo akaona vinyama vikiwa kwenye bakuli vimekaushwa. Akaonja kimoja akaona kitamu na kina chumvi chumvi!
Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia...
Masai mmoja alikuwa anasafiri kwa basi kutoka mkoa fulani kuelekea mkoa mwingine. Siku hiyo ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuvaa chupi kitendo kilichomfanya awe anaionyesha onyesha sana kwa watu ndani ya basi! Ghafla alibanwa na haja kubwa hivyo akaomba basi lisimame ili akachimbe dawa!
Eneo...
Demu mmoja wa kusoma alimwona kijana mmoja mzuri sana katika kituo cha daladala. Yule binti bila kuvunga akaamua kumfuata yule kaka ili amweleze hisia zake, “…wewe kaka ni mzuri, nimekupenda ghafla…”
Jamaa akiwa katika taharuki iliyoambatana na mshangao mkubwa sana alijikuta akimstaajabia binti...
Mahitaji
Vipapatio vya kuku kilo 1
Yai 1, pasua na vuruga
Kikombe 1 cha unga wa ngano, kwa kuweka utando (layer) juu ya kuku
Kikombe 1 cha siagi (butter)
Mahitaji ya sauce
Vijiko 3 vikubwa vya soy sauce
Vijiko 3 vikubwa vya maji safi na salama
Kikombe 1 cha sukari
½ kikombe cha white vinegar
½...
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya.
ungekua wewe ungemjibu nini?
Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe.
John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.
Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana...
Mahitaji
Kikombe 1½ cha unga wa ngano (kama gramu 200)
½ kikombe cha siagi (margarine, kama gramu 133)
Mayai 2
Vijiko 2 vikubwa vya vanilla
Kikombe 1 cha sukari nyeupe (Ni kama gramu 200. Mie nimetumia mchanganyiko wa sukari nyeupe na brown)
Vijiko 1¾ vya hamira
½ kikombe cha maziwa (maziwa ya...
Ama hakika mapenzi ni matamu sana ukimpata akupendaye mkashibana. Kumjali mpenzi wako ni jambo la msingi sana lakini ni vizuri kuepuka kuwa na kiherehe sana. Jamaa mmoja alijikuta taabani mara baada ya kumkurupukia mpenzi wake.
Jamaa mmoja alikuwa na demu wake ambaye alikuwa anamjali sana kwa...
Mwanamke akikuta pesa kwenye mifuko ya suruali yako anazitoa kimya kimya na wala hatakwambia kitu.
Sasa akute umesahau kondomu kwenye mifuko ndio utajua kama umeoa kipaza sauti cha sokoni aua mtu!
Ndio maana mimi huwa nafungasha kondomu ndani ya hela, akiziona anachukua hela na kubakia kusonya tu.
Jamaa mmoja akiwa na mtutu wa kivita maarufu kama AK47 alivamia kanisa moja la kiroho na kukuta watu wanafanya ibada. Akiwa ameuelekeza mtutu wake juu jamaa alianza kupaza sauti huku akielekea madhabahuni.
“Nani ni mtoto wa mungu hapa?” Jamaa alihoji kwa ubabe. “Nauliza hivi, nani ni mtoto wa...
Alex ni mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Mtakuja. Siku moja mwalimu aliingia darasani na kuwataka wanafunzi wasome hadithi moja iliyokuwa inahusiana na wanyama.
Baada ya kuisoma ile hadithi kwa kina na kuona matukio ya ile hadithi, mwalimu aliamua kuuliza maswali. Swali hili...
1. Ugonjwa wa moyo
Kiasi kingi cha madini ya magnesium katika mbegu za maboga yanazifanya mbegu hizi kuwa mhimu sana kwa watu wenye magonjwa mbalimabli ya moyo. Madini ya magnesium ni mhimu kwa ajili ya kuimarisha msukumo wa damu kwenye moyo na kuimarisha afya ya mishipa ya damu hatimaye kutibu...
Mahitaji
Juice ya chungwa (Unaweza kukamua au ukatumia ya box)
Asali ya nyuki
Chombo cha kuchemshia ( sufuria, glass au bilauri)
Microwave au jiko la kawaida
Maelekezo
Unaweza kuandaa juisi hii kwa kuchanganya asali na juisi na kisha kuipasha moto.
Kama unatumia microwave changanya juisi na...
Wazee wengi ni watata na wanakuwa manunda sana wakiwa nyumbani. Sio rahisi sana kupiga stories na dingi kila wakati.
Lakini siku hizi muda pekee ambao unaweza kuzoeana na dingi ni pale unapomfundisha kutumia simu ya smartphone yaani simu za kupangusa.
Huwa wanakuwa wapole sana aisee yaani hapa...
Jamaa mmoja alipigwa na homa kali ya malaria mpaka akalazwa. Akiwa hospitali hali yake ilianza kuimarika.
Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.
Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;
Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako...
Mahitaji
Kuku nusu kilo
Asali vijiko 4
Sukari ya brown kijiko 1 na nusu
Soy sauce nusu kikombe ,hii ni sawa na vijiko 8 vya mezani
Tangawizi vijiko 2 vya chai
Kitunguu saumu vijiko 2 vya chai
Chilli sauce vijiko 3 vya mezani
Chumvi kiasi
Cayenne pepper kiasi
Mafuta ya olive vijiko 5 vya...
Profesa mmoja alikuwa anafanya utafiti wa kisayansi juu ya nguvu ya chakula dhidi ya ngono. Akaanza kwa kufanya majaribio ya panya. Alimfungia panya dume katika kibanda chake kwa muda bila kumpa chakula kizuri. Siku hiyo akawaita wanafunzi wake ili awaoneshe uvumbuzi wake.
Mara ya kwanza...
Jamaa alimwaga mkewe kwamba anaenda Songea kwa ajili ya semina ya siku saba. Kumbe alihamia kwa mchepuko wake nyumba ya jirani.
Alipoamka siku ya kwanza, aliamua kuchungulia hali inayoendelea nyumbani kwake kwa sababu haikuwa mbali sana na pale alipokuwa amesafiria!
Ghafla alitahayari kumwona...
Mama mmoja mswahili na mwanawe wa miaka mitano walikuwa ndani ya taxi usiku. Wakapitishwa mitaa ambayo wanawake wanajiuza:
mtoto: Mama, hao watu waliosimama kando kando ya barabara wanafanya nini?
Mama: Wanawasubiri waume zao watoke kazini waje wawachukue ili warudi mwajumbani mwao!
Dereva...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.