Jaman mbona nimesema hapo juuu nenden idara ya sociology udsm hakuna cha kubishana ndiyo hivyo alivyo sema au mnataka no yake jaman eeeeeeeeeeeeee kwan wabongo mhhhhhhhhhhhhhh
oya wan jf uyu jamaa kila cku naonana na sasahiv yupo mwaka wa pili katika phd yake na mungu akipenda by desember anakuwa full doctor wa sociology and anthropology mkitaka detail zake nacyo kupayuka nenden idara ya socology udsm mkapate taarifa na kwatarirfa yenu phd yake imekuwa gumzo c2 udsm...
KAA HIVOIVO NA JINA LA YESU KWAN ATA HOA WANAOFANYA UPUMBAVU UNATHAHAN HAWAMJUI YESU CKIZA MARIGWE HAKUNA TAMU ICYO NA CHUNGU ATA CKU MOJA AMOUT:behindsofa:
Kiukweli nimefurahi sana waafrika tumeamka sana jana kwenye vyombo vya habari eti waziri mkuu atajiuzuru na kuachana na mambo ya siasa baada tu ya uchaguzi wa nchi yao sasa swali, je sisi tunashidwa kwa nini jaman cku zote haki aiji adi nguvu ya zianda itumike hii selikari cyo jaman :behindsofa:
MH,NADHANI UYO MUANDISHI ATAPATA FEDHA ZA DOWANS ILA AJUE KAMA WAMEMUAIDI BAC KAFULIIA WATANZANIA CYO WAJINGA KIASI HICHO KWANZA CZANI KAMA KOZI YA UANDISHI KAMALIZA ,HIVI KAMA UNA HABARI PIGA KIMYA KWANI LAZIMA UTUBOE WABONGO KILA CKU PUMBAVUUUUUUUUUUUUUUU WE NA :behindsofa:UNA BAHATI...
ACHENI UGOMVI KILA KITU KINA SABABU SASA KWANI MNABISHA NINI ATATIZO LENU KUKASANA BONGO NDIYO MAANA MNABISHA VIKUKU KWAWEZUTU NI WATU WANAOTOA MAMBO YETU,TATIZO BONGO TUNAFANYA VITU BIRA KUJUA MANNA YKE NI NINI NI SAWASAWA KUFANANISHA SABHUSA NA BAGA:behindsofa:
SIPATI PICHA CKU YA KUKUTANA NA KIWETE LIVE KWANI CJUI KAMAAMEWAHI ONA MTU ANAPIGA NGUMI KAMA FRED MAIWETHER YANII ATAPIGWA ADI ASHAGAE HIV TUKIANDAMANA KIWETE ATUMTAKI ANASHIDWA KUTOKA JAMANI EEE?:behindsofa:
Hivi kwan lazima kila siku uandike habari vtuvingine bana vinachekesha kweli, ndiyo maana ata tido wa tbc mmemfukuza kutokana na uwanaharakati wake kweli shujaa hakubaliki nyumbani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.