wachache sana wanaliona hilo. sio kwamba mimi ni mshabiki wa wanasiasa napenda kumuona kiongozi bora anayetufaa. nammunga mkono tl kwa asilimia nyingi na usemaji wake lakini hafai kabisa kuwa kiongozi mwenye madaraka makubwa
m
imi nadhani inabigi tufikirie kwa kina sana au tutafute sababu za muhimu. january lashika hiyo nafasi kwamuda sasa, kwanini tatizo lipo sasa hivi?!? kama ni mla rushwa kiasi hicho tatizo si lingeanza alipoteuliwa??!!!??, nawaza nakosa majibu kumhusisha waziri na tatizo la kukatika umeme...
mmh!!!!, mjadala mbovu kabisa kuwahi kutokea humu. Tunaamini vipi kwamba hiki ni chumba cha polepole??!!?? ukiangalia kwa makini utagundua hiki chumba kiliandaliwa kabisa kwa ajili ya picha hii. POLITIKI ZA MAJI TAKA HIZI
nashindwa kujua wewe unaijuaje ajira. mchungaji ka create ka sekta ka ajira hapo kanisani kwake, yeye akiwa mkurugenzi mkuu. na wewe muige kwa njia zingine usibaki kumlalamikia tuuu!!!
sioni sababu kwa nini mnabishana a kurushiana vijembe!!!, alichokiongea huyu jamaa ni kitu fikirishi, ni ukweli tu ulio wazi kabisa kwamba mzigo kutoka mwanza/kanda ya ziwa ni mchache mno kuifeed sgr vya kutosha. kinachotakiwa hapa ni kuanza kujipanga kuhakikisha mzigo unapatikana.ndizi na dagaa...
Serikali kupitia NEMC kuna kitu inafanya, kwa sisi wadau wa taka hatarishi hatuna wasiwasi na hilo kw serikali, tatizo liko kwetu sisi wananchi, wewe mwenye elimu kidogo kuhusu hilo hebu jitahidi kuisambaza elimu hii kwa watz kwa kadri utakavyowafikia.
NDUGU YANGU wanasiasa wakiwa majukwaani wanajitahidi sana kudanganya wananchi, eti katiba inasema hivi, lakini nenda kwenye sheria pia zinasema vipi kuhusu usalama hasa wa rais, kuna nchi hapa majuzi rais alivamiwa ikulu na wananchi hakuna nchi itaruhusu jambo hilo litokee hata ikiwa na katiba...
ndiyo biashara kubwa ziko hivyo, matajiri wote duniani wan mikopo benki na taasisi zingine tene mikubwa tu, na wewe fanya mpango uaminike na mabenki utakopa utakuwa tajiri pengine kuzidi hata Manji
siasa zetu zilifika mahali pabaya sana ulikuwa ni uadui badala ya kuifikiria nchi. wenzetu sidhani kama wako hivyo, kwenye mambo ya msingi ya nchi wanaungana na kuwa kitu kimoja, wao wote wapinzani na watawala kiu ya ni maendeleo ya nchi na ustawi wa jamii, sisi tunalilenga sana kukomoana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.