Kawaida migodini kama uko siriasi na kutafuta hela ni kufanyakazi miaka miwili then unaacha,ni mahala hatari zaidi kimaisha kuanzia kazini mpaka kijijini wanapoishi wafanyakazi.
rais kibaki wa kenya ni rais wa kwanza afrika muhitimu wa chuo kikuu lakini angalia upupu alioufanya kung'ang'ania madaraka,Daudi Balali alifaulu vizuri sana but cheki madudu yake,haijalishi ulipata nini shule,whats matter ni kuwa umeachieve nini baada ya hapo.
kusema kumbi za starehe zilikuwa zinapiga muziki na Tff waliendelea na mechi sio kuomba msamaha huko,nyie mnataka kutumika,mmekubali kuwa mbuzi wa kafara on behalf of vodacom!hatudanganyiki.
katika kipindi cha tuongee jambo Tanzania cha TBC leo asubuhi Wasira amejaa kasira sijui kwa sababu gani hasa,au sababu alishindwa kujibu hoja za mh mbowe!
ni kichwa kulinganisha na magamba wengine lakini pale alikuwa anapiga porojo tu,yaani mtu yoyote anayeweza kuongea na kuchomekea utani watu wakacheka mwisho wa siku watu watasahau kama hakuongea point.
Nugu Mdau jaribu kutumia uwezo wako kidogo tu kujaribu kuelewa logic ya kile anachoongelea mheshimiwa mbunge wa Mgeya mjini mr Mbilinyi,ni kuhusu biashara ya sanaa kuhodhiwa na kikundi fulani cha watu ambao wanajipangia wamsapoti nani na kumlipa nini,sasa yeye anajaribu kuchochea jitihada za...
waandaaji kemeeni mambo kama haya,sasa amevaa nini hapo?halafu tunataka vijana wetu ambao ndio wengi wanashiriki kwenye matamasha kama haya wawe na tabia nzuri?
wasanii nao ni watu wa ajabu,mpaka mtu awasemee!nyie hamuoni wenzenu wa hata hapo Uganda tu jinsi walivyonufaika na kazi yao,nyie mnakubali kunyonywa mpaka lini?hii ndio ilikuwa nafasi ya kuitumia,Mr sugu kaonyesha njia nyie endelezeni,jiungeni muwe kitu kimoja,wakitaka kuwatumia wingie mikataba...
hakutakiwa kusema tu,alitakiwa kuongezea kwamba tumewakamata au kutoa maelezo hatua gani zimechukuliwa kukomesha hiyo kitu,sasa nae anakuja na hadithi kama tunazosimuliana kijiweni!!
katuni huwa hazitafsiliwi kwa kuangalia picha iliyochorwa tu,kuna utaalamu wa kuzitafsiri,ukichangiwa na uwezo binafsi wa kuelewa,kama huna vyote viwili ndio unaishia kuwa hivyo,hebu iangalie vizuri then oanisha na matukio yaliyopo halafu tumia uwezo wako wa kuelewa ndio uje na kitu cha kutueleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.