waziri mkuu aja udom wakati huo management yamficha mgomo wa wanafunzi uliokuwa ukiendelea kitivo cha elimu na bado wameahidi kuliendeleza juma tatu wanafunzi hao wanawiki moja hawasomi,management yamficha pinda uovu, waziri mkuu akitaka aheshimike na kujua ukweli aongee na wanafunzi wote...
sio kucheleshewa pesa za mikopo tu bali bodi ya mkopo imetuzulumu pesa za field mwaka jana kwa kigezo cha kutodaiwa baadae kitu ambacho ni ufisadi ,piatatizo la maji ni kbwa zaidi mpaka infika wiki maji hayatoki na kuna vyoo vya kuflash wanafunzi wanatumia muda mrefu kutafuta maji badadla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.