Anaona akijenga chuo kikuu, hakitapata watu kutoka kwao, ina maana kama kufika chuo kikuu watafika wachache sana na kama watafika chuo kikuu. Ni bora ajijengee shule ya msingi ambayo kila mtu anaingia bila mtihani. Ni aibu kweli anataka mambo laini laini, kwenda UDOM kashindwa, kamwachia Pinda...
Ulichosema ni sahihi kabisa, kama ng'ombe hana kichwa unategemea nini? haoni aendako, akili haipo ............ ni kweli hata sijui tunakoelekea, tunasubiri kujibamiza sehemu, na matokeo yake sijui yatakuwaje. Tuombe Mungu atunusuru na hali hii, pamoja na hivyo inabidi tutafute jinsi ya...
Makamba ni zaidi anatukana Viongozi wa Dini, badala ya kuomba msamaha na kukaa kimya bado anaendelea kuongea kwenye vyombo vy habari. Ni bora aache kutumia vitabu vitakatifu vya dini sababu ana uelewa finyu wa vitabu hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.