ushamba ni kuwaje ati ?sioni ustaarabu wa wengine.
Kuweka mkorogo au ?
Na hao wajanja wana nini cha ziada ?
Huko kusoma shule kama Nsumba, Bwiru, Nganza, Mwanza Sec etc zipo toka ukoloni nani alikuwa anasoma? ufahamu zaidi tunahitaji kupewa mwanga.
@ Money Penny kwanza napenda kukupongeza kwa kipaji chako cha uandishi, natumaini hii imetokana na "hobbies" zako za kupenda kuangalia movies etc. Hivyo nakushauri uangalie jinsi unavyoweza kubadili hobbies kuifanya biashara.
Kama ulivyo eleza kuwa umechukua miaka mingi kutafuta kazi kumbe kazi...
Changamoto kubwa ya jamiiforum ni wachangiaji wake wengi waliokuwepo mwanzo wamekuwa domant au kutosikika kabisa.
Enzi zile kulikuwa na uchangiaji ukiambatanishwa na references na kufanya jukwaa kuwa la kiwango cha juu kabisa.
Kuna mwaka jamii forum ilikuwa ranked kwenye 10 bora ya forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.