Nadhani watu mmezidi kuwahukumu wezenu, hasa kwa wa Kristo,kumbukeni hakuna dhambi ndogo wala kubwa.
Pricilla kasema anataka kuacha, hebu mpeni ushauri unaofaa. Si wote walio homosexuals wamependa kuwa ivyo, naomba muwe waelewa.
Kwa Priscilla, nadhani, ukienda Muhimbili kitengo cha afye ya...
Aliyetoa hiyo CV ni mzushi. Dk Haji Mponda anajulikana kwa research na alikuwa Ifakara, kwenye research ya Malaria nadhani kama director na ukigoogle jina lake utaona publication zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.