Kwa kweli viwanda ni vingi sana mwatex kile cha tanbond na pride vyote vimeenda na maji kwa fikra za wasaka tonge na bado wengine wanaonekana ni resource person na think tank ktk taifa letu
Mi nimeliona limebeba ujumbe yenye uhalisia kwenye shule nyingi hasa zilizopo vijijini sasa ni wajibu wetu na serikali kuchukua hatua na sio kuliondoa tangazo
kwa kweli voda wanaboa sana ukataji huu upo sana na wakati mwingine unaweka fedha ili ujiunge unaambiwa salio halitoshi wakati mwingine unatumiwa salio au kifurushi chako kimekwisha wakati muda wake bado hujatumia so voda ni mzigo kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.