Tuwasubirie washitaki maarufu kama C Mtikila kuja kumshitaki huyu bwana Kamuhanda
Vinginevyo huwa nakubali vifungu vya hotuba ya The former South African president , alisema hivi "Bynow every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rulethemselves. Give them guns and they will...
Historia inaonyesha kwamba kwenye shauri ambalo jaji mkuu ni mwanajopo hukumu itafurahisha upande wa serikali
Kama ilivyokuwa kwenye shauri la mgombea binafsi lililofunguliwa na Mtikila
Ni mkakati mzuri wa pamoja utakaotusaidia kujua njia nzuri zaidi ya kusonga mbele
Elimu ya uraia lazima iendelee kupitia M4C
Ushindi kwa njia ya elimu ya uraia ni lazima
Hayumo kati ya watu niaowapa credits za kuwa rais wa tanzania,achilia mbali ndani si si em
Dawa yake ni kutafutiwa mgombea mbadala mwenye ushawishi abwagwe na arrogance zisizo na mashiko
Alisema hivi
Wakati wanajiandaa kula mlinzi wake alikuja kumwambia kuna vijana wa CHADEMA walikuwa wanagonga mlangoni, yeye akamwambia awakaribishe
akasema pia na "walikuwa na njaa"
mwisho wa kunukuu
Mzee MM
Wale watetezi wa serikali watakushambulia, ukweli ni kwamba serikali haikuwa na nia ya kuatatua matatizo ya msingi
Kila wanapoomba mazungumzo ya mezani wanafanya hivo si kwa nia njema ndiyo maana mikutano sita kati kamati ya madakatri na serikali hawakufikia suluhu hata moja
Hata...
Tukio limetokea
Mhusika siyo Simba..........
Hakuna mwanaume atakayekubali kwamba kafumaniwa,labda kama alipigwa picha
Clinton aligoma kukubali mpaka dakika za mwisho, baadaye alikubali alipoona tukio halifichiki tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.