Hizo nafasi siyo kwa ajili ya ku-apply,
jamaa amekupa hzo kama muongozo,ili ujue jinsi ya kuandaa CV yako.
So zikitokea chance kama hizo sehemu yoyote uweze kuomba ukiwa unajiamini.
Ndivyo nilivyo muelewa maelezo yake ya juu kabisa.
mimi sijasomea ualimu,ni graduate wa fani nyingine,nikitaka kufundisha
natuma maombi ya kufundisha wizarani au kwa afisa elimu mkoa?
Nikituma sasa ivi kusubiri kupangiwa kituo ndio hadi mwakani au?
Thanx wadau kwa ushauri wenu,
hawa matapeli nimeshawapotezea,
wamenipigia simu kuniulizia lini nitawatumia elfu 14 kwa njia ya M.PESA.
Nimewapa live kuwa ni matapeli wakubwa, wakabaki kujiuma uma wasijue la kusema.
THANX JF
Salaamu zenu wadau!
Nimepata barua kutoka watu wanajiita EUROPEAN & AFRICAN DEVELOPMENT FOUNDATION (INC)
(East Africa Ltd), kwa kazi niliyo apply hapa Dodoma.
Nitaifupisha kama ifuatavyo.
MEMORANDUM
TO..............................
You have been short listed to the post you applied...
Kama 1st class ya Tumaini ni sawa na PASS ya UDSM.
Kwahiyo 2nd classes za Tumaini ni sawa na FAIL za UDSM?
Ivi kama UDSM hawatoi 1st class kutokana may be na urasimu uliopo,je na vyuo vingine wasitoe coz Udsm ziko chache?
Vyuo vingine waangalie UDSM wanafanyaje ndio wao waige?
Hamuon kuwa...
Nawasalimu WOTE kwa jina la JF,
Mwanzoni kiss Fm redio ilikuwa inashika vizuri tu,mara ikaanza leo inapatikana, kesho haishiki mwishowe kwa sasa haishiki kabisa Dodoma kwa zaidi ya miezi kama 5 na zaidi sasa,
Nayo Star Tv nayo ikaanza ukauzu wake,mara inapatikana,cku nyingine haipatikani, na...
Nilikuwa mfuatiliaji wa hicho kipindi miaka ya nyuma kupitia TBC1,
Lakini nashangaa mbona cku hizi hakipo tena!
Mwenye nyuzi a2juze kimepotelea wapi hiki kipindi cha maisha plus cha Masoud wa kipanya na wenzake.
hata mim nashangaa! 24yrs hata puli haijui,mtarimbo utakuwa umelala doroooo!Wewe bado ni dogo hata kama una 24yrs coz hujajua ku 'do' bado.Ukiwa mkubwa utajua.
Hi!
Wataalamu wa JF, nimesikia kuwa eti mtu ukinywa Panadol au paracetamol muda mfupi baada ya kunywa kinywaji cha coca-cola kuna madhara.
Naomba wanaojua wanijuze ni madhara gani hayo na kwanini!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.