Habari wa JF,
Katika harakati za kukuza biashara yako kujitangaza ( matangazo ) ni jambo lisilokwepeka.
Extrem_Marketing tunakufahamisha jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii ( Facebook na Instagram ) kukuza biashara yako. Tunakusaidia kutangaza kupitia hii mitandao kwa kuyalipia matangazo yako...
The deadline for this kind of scholarship is early April, 2016. Remember you need to have passport in hand before the start of filling the online forms.
Regards,
agent_china@yahoo.com
Habari wana JF.
Mimi ni mtanzania ambaye nimepata bahati tu ya kusoma china. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba watanzania wengi tunakosa habari ( information) za mambo mbalimbali. Watu wa mataifa mbali mbali wanachangamkia sana fursa za elimu zinazotolewa huku kuliko sisi watanzania. Nisiseme...
Habari wana jF.
Natafuta mtu anayeweza kutengeneza website mfano wa Amazon or ebay ( ambayo muuzaji / mtu au watu wanaweza kuuza bidhaa zao online, uwezo wa muuzaji kuweka picha ya bidhaa na bidhaa zote zikaonekana kwenye page ya mauzo )
Kwa anayeweza tuwasiliane : nitumie email yako or inbox...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.