Habari wa JF,
Katika harakati za kukuza biashara yako kujitangaza ( matangazo ) ni jambo lisilokwepeka.
Extrem_Marketing tunakufahamisha jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii ( Facebook na Instagram ) kukuza biashara yako. Tunakusaidia kutangaza kupitia hii mitandao kwa kuyalipia matangazo yako...
Una uwezo wa kujaza na kudownload CSC zaidi ya mara moja, lakini hii ya 2 ubadilishe agency number either ubalozi au hicho chuo kingine. Fanya yote kama yapo ndani ya uwezo wako.
Kuna jamaa mmoja amenimbia kuwa yeye alikusanya vitu vyoote vilivyoitajika ( akajaza online form CSC ila agency number akaandika ya ubalozi wa china) chini kule akaandika vyuo 3 angependa kusoma, then akapeleka pale ubalozini, na amepata udhamini.
Mkuu...ukishamaliza kujaza na kuwa na mambo yote yanayoitajika ni kuzituma tu, kwenda chuo (agency husika) kupitia DHL . Ila kama una rafiki yoyote huku unaweza ukamtumia kwy email then yeye akaziprint na kutuma chuo maana kukwepa gharama za DHL.
Kila chuo kina agency number ambayo inatambuliwa na CSC ( china scholarship council) hivyo ni lazima ujue chuo unachotaka kusoma na namba yake. Utapata information kwy mtandao ya namba ya chuo utakacho.
The deadline for this kind of scholarship is early April, 2016. Remember you need to have passport in hand before the start of filling the online forms.
Regards,
agent_china@yahoo.com
Habari wana JF.
Mimi ni mtanzania ambaye nimepata bahati tu ya kusoma china. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba watanzania wengi tunakosa habari ( information) za mambo mbalimbali. Watu wa mataifa mbali mbali wanachangamkia sana fursa za elimu zinazotolewa huku kuliko sisi watanzania. Nisiseme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.