Kuna choo tulikuwa tunakiita mabati Shinyanga moja hiyo. Jina la shule sitaji coz naiheshimu sana shule yangu. Waliopita hapo hususani boys kama wapo humu watanielewa. Prodees....
Inasikitisha sana kuwa na viongozi kama hawa. Hajui hata azungumzie vipi ugumu wa maisha ya wananchi wake, halafu eti ndiyo waziri wa fedha na uchumi wa nchi.
Inategemea na ndugu unayemsaidia hapa. Kwa mfano wapo ndugu ambao hutusaidia katika vipindi vigumu na hata mke anajua fulani ndiyo katoa msaada au mkopo. So hata siku akishuhudia unamsaidia ndugu kama huyo mke hawezi kuwa na roho kubwa. Ikitokea akawa na roho kubwa katika situation kama hiyo...
Sorry, inaendelea.
Mimi: Pole sana. Nipo mkoa X, nimekuja leo.
Binti: Karibu sana Baba, nikipata nafasi baadae nitakutafuta nije nikusalimie.
Mimi. Sawa haina shida.
Mpaka hapa nilikuwa sijawaza chochote kuhusu kumla huyu binti maana tunaheshimiana naye sana, na nimeanza kumla mama yake...
Sorry, inaendelea.
Mimi: Pole sana. Nipo mkoa X, nimekuja leo.
Binti: Karibu sana Baba, nikipata nafasi baadae nitakutafuta nije nikusalimie.
Mimi. Sawa haina shida.
Mpaka hapa nilikuwa sijawaza chochote kuhusu kumla huyu binti maana tunaheshimiana naye sana, na nimeanza kumla mama yake...
Wakuu salama humu ndani?
Nimekula kimasikhara mtoto wa mchepuko wangu, mpaka muda huu siamini kinachoendelea. Rikiboy ametusababishia dhambi kubwa sana kupitia huu uzi.
Ipo hivi, nimesafiri kuja mkoa X jana ambako ndipo binti huyu anasoma chuo first year. Baada ya kufika na kutafuta malazi...
Kama vile unavyosali ili Mungu akupatie mafanikio katika maisha na kazi yako. Basi chakula ni moja ya sehemu unazopata kupitia mafanikio yako ya kazi na utafutaji wako. So mshukuru Mungu kwa kufanikisha umepata chakula ili kiendelee kukujenga kimwili na kiroho.
Kama vile unavyosali ili Mungu akupatie mafanikio katika maisha na kazi yako. Basi chakula ni moja ya sehemu unazopata kupitia mafanikio yako ya kazi na utafutaji wako. So mshukuru Mungu kwa kufanikisha umepata chakula ili kiendelee kukujenga kimwili na kiroho.
Habari za majukumu great thinkers?
Kuna hii shida kwenye website ya TADB ambayo ni zaidi ya mwezi mzima sasa, kila nikijaribu kuingia upande wa careers inaleta majibu kwamba kuna critical error kwenye website. Ila cha ajabu ni kwamba vipengele vingine vyote vipo sawa na hakuna shida yoyote...
Nadhani hujaelewa vizuri. Shoma ndiyo jina lake maarufu, ni sister ambaye namfahamu vizuri sana. Tuliishi wote kota za staff wa Mirembe Hospital. Anyway, tuishie hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.