am fedup na hili li-gvt letu. jamani can u imagine posho inapanda kwa 130,000/= wakati profesional teachers hadi leo hawajalipwa malimbikizo yao kwa madai kuwa serikali haina pesa. jamani hivi kweli inaingia akilini. Eti maisha ya dodoma yapo juu! ina maana yapo juu kwa hao waheshimiwa tu...
hapa hakijapungua kitu chochote. mwacheni ****** wa watu akatalii. ndicho alichokua anagombea. kwani huko aendako kunakua hakuna ulinzi adi aende na maofisa 34. kawa obama kwa umaarufu adi adhuriwe. si ajabu huko anakoendaga hata hakuna anayemfahamu, sasa walinzi mia wa nini. ukute wanaomuona ka...
anasema yeye hawezi kutolewa labda kwa ncha ya upinde kwani yeye hakutafuta wala kuomba kazi. yeye kateuliwa na Presidaaa! hivyo wengine wote ni vidampa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.