Nampongeza Mrs Emmanuel kwa juhudi alizofanya kuwasiliana na waandishi wa habari hata asiofahamiana nao. Mimi hatufahamiani, lakini alinipigia simu saa 9.05 usiku wa manane tarehe 22 Februari 2018, mara tu baada ya mumewe kubebwa na watu hao. Jitihada zake nadhani zimezaa matunda chanya. She has...
Ushauri mzuri sana.
kwa data anazokuwa nazo nguvu ya hoja inatosha.
Kuna wakati anakuwa na data relevant, timely, credible and compelling kuliko hata makachero wetu...
.
Mwanakijiji, leo umeandika kwa mafumbo. Funguka. Nyoosha sentensi hizi: "Sidhani kama tunaelewa uzito wa kuwabebesha lawama sahihi watu sahihi ili wawajibike au wawajibishwe kwa usahihi. Magufuli ana lawama zake, lakini kuna wanaobeba lawama zaidi." Fafanua haya:
-Lawama sahihi ni zipi?
-Watu...
Baada ya kuona mambo kadhaa yanayotia mashaka nimejiuliza swali: Hivi Ma-DC wanatekeleza majukumu yao ipasavyo? Tusaidiane kuwapima kwa kutumia Hati ya Majukumu inayowahusu. Hii hapa.....
===========MAJUKUMU YA MKUU WA WILAYA=================
(i) Kumweka mtu kizuizini kwa muda wa saa 48...
.
Msomaji mmoja amefupisha hiyo makala hiivi....
On Greta Christina’s “Are We Having Sex Now Or What?”
No matter how many people are doing it (or aren’t doing it), why they’re doing it, who they’re doing it with, how many people they’re doing it with, and how they get off from it, sex is still...
Je, uliwahi kujiuliza swali, "Kuna tofauti gani kati ya 'tendo la ndoa' na 'tendo la ngono'?" Kama bado anza kujiuliza sasa. Andika jawabu lako kwa sentensi moja. Halafu, soma makala ya Greta Christina, “Are we Having Sex Now or What?” iliyoambatanishwa hapa chini. Makala inayo maneno 2000 tu...
.
Kwa ujumla, mfumo wa sheria una ngazi tano:
Sheria asilia ya maadili
Sheria za nchi/Bunge
Matamko ya watawala.
Hivyo basi, vipaumbele vya utii viko hivi:
Sheria asilia ya maadili ina nguvu kuliko Sheria za nchi
Sheria za nchi/Bunge zina nguvu kuliko Matamko ya watawala
60-PLUS SOCIAL NETWORKING SITES IN 2017
Human nature by default has been programmed to be socially active to a certain extent. Some people are more active, while others are less so!
However, people have always been looking for ways to connect and network with each other. And, in this age of...
.
Kama Mkristo, na askofu mstaafu, nayajua hayo yote. Lakini, pia ninayejua majukumu yangu kama "padre mlei," baada ya kustaafu uaskofu. Kwa mujibu wa nyaraka za Mtaguso wa Pili wa Vatican, ninalo jukumu la kumkemea Askofu pale anapopotoka. Hivi hapa natekeleza jukumu langu kama Padre Mlei....
.
Mcdad, ni hivi:
Mosi, hakuna sheria ya Bunge inayomkataza mwanafunzi mwenye rika ya utu uzima kufanya ngono, hata kama yuko shule ya msingi. Mwanafunzi wa aina hiyo anabanwa na sheria za shule tu, sheria ambazo uhai wake unakomea kwenye uzio wa shule. Hata hivyo, kuna sheri ya Bunge...
.
Hiyo ni silaha nyingine ya ujambazi wa kifalsafa--fallacy of association. Tunaongelea mimba za watoto wa kike unaleta habari ya ushoga. Kwani mashoga wanabeba mimba, kama ilivyo kwa watoto wa kike?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.