Kiswahili chenyewe kilitoka wapi, watawala wetu walikuwa Waarab, Wajeruman, Waingereza, nk wote walikuwa hawajui Kiswahili!! Ni lugha ya kuungaunga hivi!
Watu wanaona afadhali kuendelea kuzini kuliko kuolewa kihalali!! Ukiolewa, utaendelea kuzini au huyo kijana au utaachana naye, vinginevyo utakuwa ni msichana mwenye “ugonjwa”!!
Mkuu wa kwanza alipotea tokea mwanzo, hivi Kiswahili kilitokea wapi! Tungeendelea na Kiingereza toka wakati ule tungekuwa tumekizoea na tungekuwa mbali. Angalia sasa hivi tunahangaika kupeleka watoto shule za “English medium” kisa tu ajuwe Kiingereza!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.