Tanzania Tunazalisha wastani wa Megawatts 1745MW Kiwango hicho sio toshelezi sana kwa Watumiaji ila at least kinatupa Umeme wa Kutosha kutumia Kwa baadhi ya Wateja Jirani zetu kenya wao wanafua Megawatts 2300MW, Umeme ni maendeleo, Penye umeme pana maendeleo, Umeme wa Uhakika nchini unapatikana...
Hii imekaaje kiusalama wakuu, Raisi ni taasisi kubwa sana yenye mamlaka katika Taifa sasa Mheshimiwa Yowel museven inakuwaje unakosa private jet na kutumia Mashirika ya Nchi tofauti na yako kukusafirisha? Hii imekaaje wana Jamvi?
Nimeingia Wikipedia Nimejaribu kusearch TISS nilichokiona ni cha kusikisitisha kama sio kustaajibisha. Hakuna sufficient News kuhusu idara yangu hii ya Usalama Yani kuanzia formation, Incumbent Leaders na mengineyo
Nikashangaa sana hii imekaaje wakuu? Ukitazama idara ya ndani ya Usalama ya...
wakuu salama? Mimi ni mwana technology Sasa natamani sana kufahamu sana mambo ya mwili wa binadamu hata kama sio deeply Ila niwe na skills kadhaa za kutibu mtu yani simply nipate basic knowledge ya udaktari, Wapi naweza patiwa mafunzo haya bila kuwa awarded na cheti yani niwe trained practically...
wakuu salama humu? Leo naomba hobbylist na wana tech wote tudiscuss kuhusu electronics haswa haswa juu ya sensors je umewah kukutana na sensor ipi ikakuumiza kichwa kufikiria kina namna gani inawake? miaka ya nyuma kabla sijaingia ktk industrial hii nilikuwa nikipita sehemu taa zinawaka...
Salama wakuu, Mimi ni mzalendo haswa na naipenda Nchi yangu Tanzania naamini scattered (kutawanyika) kwa raia wa nchi baadhi huitangaza zaidi nchi hio ambayo wakazi wake wako nje, Nilikuwa na mikakati ya kusomea nje bachelor degree yangu ila nafikiri pana ugumu fulani wa hapa na pale kwa file...
Wakuu ninaomba msaada wa kutoa network lock ya hii simu ya smartkicka nimemchukulia wife naona kiko locked kutumia voda imei ni 357773065476955 Msaada wa code wakuu
Wakuu nimeweka modem brand ni Zain Huawei E1550 nime install fresh setup yake shida kila nikitaka kuconnect na internet inaandika The device has been disconn disconnected or unavailable sehemu ya mtandao haijapandisha kabisa nifanyaje?
Wakuu whatsFapp yangu imepigwa ban ila GB WhatsApp ninayo iko fresh mtu anipe valid link ya kupata Cranked app ingine ya WhatsApp inayopiga mzigo tofauti na GbWhatsapp
Hello wadau ikiwa ni wazo makini ambalo tayari limeanza utekelezaji Chuo chetu makini kabisa Arusha Technical college alimaarufu kama ATC kimeanza mikakati ya kuunda helicopter kutokea ktk workshop zao,Helicopter hio au chopper itakuwa na capacity ya kubeba watu wawili iko ktk hatua ya mwanzo...
Wakuu hii bank ya kimea imekuwa ngumu mpaka sasa kunipa access ya Online transaction sasa je nisogee bank ipi ambayo ita link card yangu easly na online transaction, Equity gharama na taratibu za kujiunga zipoje?
Wakuu mimi ni mdau mzuri wa pombe aina ya Jebel hzi local beers za ngano zinanishida kwa vile tu mtu unamka na hangover sana hebu nijuze vileo vingine tofauti na jebel nitajie ambavyo vina alcohol kubwa kiasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.