Kwa asilimia mia moja 100% haya maneno kaandika josephine mushumbusi.. Soma neno kwa neno alafu jaribu kuyatengenezea sauti..utagundua yaneandikwa na mwanamke.
Habari ya kwenu wanajukwaa. Naomba uzoefu kwa aliyewahi au anayefanya biashara ya mchele wa jumla kutoka mbeya na shinyanga au Morogoro kupeleka mikoani hasa kilimanjaro.
Nahitaji kufahamu
1.upatikanaji wa bidhaa hiyo ktk mikoa hiyo.
2. Gharama za ununuzi kwa kilo
3. Gharama za usafiri.
Kwa kuwa...
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote.ingekuwa plan nzuri ambayo ingesaidia ukawa kuongeza viti vya ubunge japo kwa uraisi kupata ni ngumu. Lkn umeshafikiria adhari za kumkosa Lissu bungeni?
Hao unaowaita wanasiasa mahiri wametusaidia nini kutokana na umahiri wao ktk siasa.hatuhitaji mbwembwe za kisiasa, sisi tunahitaji rais wa nchi. Ilipo tanzania ni kwa sababu ya kufanya mambo ya kimsingi kuwa siasa
ukiisema serikali kwa namna yoyote ile basi ndio mwanzo wa kuwindwa na kupangiwa njama zozote zile na hata kuukiwa. tukumbuke ya mchg. Munishi aliyrkimbilia Kenya.pole Gwajima
mbona hauripoti unachofuatilia na kuona????
Nimempigia jamaa ninayetumiaga bodaboda yake akaniambia leo wapo kwenye kazi maalum ya ccm sababu wamepewa 10elfu na petrol ili wazunguke na msafara wa kayibu mkuu.
walipofika Moshi mjini kata ya majengo viongozi wa ccm wilaya wakawapeleka kukagua...
huyo anaitwa bwana All Ambar (kama sijasahau jina)mbunge wa NCCR.anasema yeye hakuwa bungeni kwa muda na hata siku ya kupiga kura hakuwa bungen wala hakupiga kura kwa utaratibu wowote, ameshangaa sana kuona jina lake wkt yeye hakuwa hata huko bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.