Jamani, wenye sifa za kazi zilizotangazwa waombe tu. Kwa kuwa nafasi hizi ni za watu waliokwenda shule, nadhani si sifa nzuri kuwa waoga kiasi hicho, na kuwa very pessimistic kwa kila jambo. Tufike mahali tuamini kuwa wamo pia watu wasafi ndani ya system ambao wangependa kuona taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.