Pole sana kiongozi. Jipe moyo, inuka ujaribu tena. Shirikisha watu wa karibu. Anza upya. Usikate tamaa. Baraka za maulana utakutana nazo huko huko mtaani katika kung'ang'ana. Nami nakuombea heri
Je, mfumo wa zamani ulikuwa na mapungufu yapi ambayo mfumo mpya umekuja kuyarekebisha? Mfano elimu za dini kufundishwa/kutolewa zaidi seminarini, masuala ya arts kufundishwa kwenye vyuo mahsusi kama pale Bagamoyo kwa ngazi ya cheti, diploma hadi digrii n.k. utaratibu huo ulikuwa na mapungufu gani?
Wadau,
Kama mlivyosikia Wizara ya Tamisemi imetangaza ongezeko la tahsusi za kidato cha tano na sita katika michepuo mbalimbali ikiwemo sayansi, lugha, michezo, sanaa, biashara na dini.
Kwa tafakari ya haraka naona haya ni maendeleo katika kuruhusu wigo mpana zaidi wa kujifunza mambo ambayo...
Umesema una hela? Kwa nini usitafute surrogate, or else opt for test tube babies.?
Waheshimu mama na dada zetu tafadhali.
Naamini, haipo nafsi iliyokosa kujithamini kiasi cha kutimiza hivyo vigezo vyako vya kishenzi eti ili alipiwe kodi ya chumba na kupewa mtaji etc..ili akuzalie watoto.
Pengine una maanisha "ujasiri" = Being brave enough to...., na sio "Akili" = inteligence/cleverness.
Kwa baadhi ya mambo neno FATE = Majaliwa, linaweza kufit zaidi maelezo yaliyotolewa (mf. Historia ya Chifu Mkwawa).
Neno akili lina ukomo kwa vile baadhi ya mifano iliyotolewa haifui dafu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.