Nimezaliwa miaka ya 80 mwishoni na sasa nna familia na watoto wawili na ni muajiriwa. Nakuja hapa kumtafuta mzee ambaye ni baba yangu ambaye sijawahi muona na majina yake niliambiwa jina lake moja tu kuwa anaitwa Jumanne. Mzee huyu alikuwa ni dereva katika chuo cha CBE Dodoma miaka ya 1986 hivi...
Gari la shirika la posta Ruvuma linafanya safar ya Songea makambako kwa kupakiza abiria na uku likiwa na usajir wa shirika la uma.Kama hii kitu inawezekana basi mashirika mengine yaige mfano huu ili kuongeza mapato kwa shirika.. Hapa likiwa stend ya msamara mjini Songea likisubir folen yake...
Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.