Search results

  1. batan

    Namtafuta baba mzazi Mr. Jumanne aliyekuwa dereva Chuo cha CBE Dodoma

    Nimezaliwa miaka ya 80 mwishoni na sasa nna familia na watoto wawili na ni muajiriwa. Nakuja hapa kumtafuta mzee ambaye ni baba yangu ambaye sijawahi muona na majina yake niliambiwa jina lake moja tu kuwa anaitwa Jumanne. Mzee huyu alikuwa ni dereva katika chuo cha CBE Dodoma miaka ya 1986 hivi...
  2. batan

    Gari la shirika la posta Ruvuma linafanya safar ya Songea makambako kwa kupakiza abiria

    Gari la shirika la posta Ruvuma linafanya safar ya Songea makambako kwa kupakiza abiria na uku likiwa na usajir wa shirika la uma.Kama hii kitu inawezekana basi mashirika mengine yaige mfano huu ili kuongeza mapato kwa shirika.. Hapa likiwa stend ya msamara mjini Songea likisubir folen yake...
  3. batan

    Hii hutokea chuo cha usafirishaji (NIT) tu

    Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo...
Back
Top Bottom