Kama bado hujapata majibu soma link hapa
Bad smell in nose: Causes, treatments, and prevention
Muhtasari
Sinusitis, maambukizo ya kinywa, na vyakula fulani, vinywaji, na tabia ya maisha kawaida huwa nyuma ya harufu mbaya puani.
Kwa kawaida watu wanaweza kuondoa harufu mbaya puani kwa kutumia...
"AFYA KWANZA" ACHA KUTESEKA NJOO UPIME AFYA UPATE MATIBABU, USISUBIRI HADI UZIDIWE GHAFLA, TUNAPENDA UISHI -WATAALAM WA AFYA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI BINGWA WAPO HAPA NCHINI (KARIAKOO DSM) WANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE WAJE KUPIMA NA KUJUA AFYA NA KUPATA TIBA, WANATOA HUDUMA ZIFUATAZO...
Habari,
Mimi nipo kimara kilungule natumia kingamuzibcha antena ya nje tena nimeweka pole ndefu lakini honeshi chanel yeyote kwa muda mrefu pamoja na kujaribu kulipia lakini karibu inaexpire lakini nimeshindwa kuona chochote.
Nimejaribu kugeuzia antena sijui kisarawe, mara makongo lakini...
Hii ni achine ya fanya miamala yamalipo ya vitu mbalimbali kama bili za maji awasco,LUKU,STAR TIMES,TRA,SMRT TFF,KUUZA VOCHA,MPESA Nakadhalika.
Biashara hii ninzrikwani inampa yule anayefanya kipato kupita kamisheni
UKIUZA:NA KAMISHENI ZAKE
AINA KAMISHENI
LUKU......2.5%
DAWASCO..3%
SMART...
Mimi naifanya biashara hii hapa Dsm, mahitaji ya kupata laini za kazi TIN NO, LESENI YA BIASHARA NA ENEO LA KUFANYIA HIYO BIASGARA pamoja na mtaji.Ili uweze kufanya kazi bila kurudisha wateja wengi kwa kutokuwa na salio unanatakiwa uwe na mtaji usiopungua milioni mbili, na hapa mzunguko wa hela...
Asante biashara,
Hayo maelezo yenyewe nimeayakopi kama yalivyo mahali kwa hata mwenyewe sijui kama ni ya kweli au vipi
Maana wao inaonekana hiyo net ndio ya kufunika kibanda kizima na na hakuna ultraviolent plastic
Nashauri tuendelee na topic ya mkaa tusejeharibu tread yako na vitu vingine...
Mkuu Biashara kwa kuwa Topic yako ya green katika video hatuwezi tena kukomenti pale naomba niulize swali la green house hapaKuna teknolojia nyingine nimeisoma mahali inahusu AGRO NET ambayo ni bei nafuu kuliko hata green houseJe hii wewe unaizungumziaje kama unajua tafadhali isije kuwa rahisi...
Habarini wadau,Mimi nataka nianze biashara ya kuuza nanasi hapa dar kwani naona kama ndio msimu umeanza maana nimeona kuna maeneo washaanza kumwaga
Naombeni mwenye kujua zinakopatikana kirahisi kwa bei ya jumla na nafuu kwani nataka nichue mfano canter moja na kuja kuzimwaga eneo lenye wapitaji...
Mkuu asante sana nipo Dar ndio.
Nitafunga safari kwenda pale.Japo sijui ukifika pale unamuulizia nani maana kwenda kimguu mguu bila no ya simu ya huyo mtu unaweza usimkute aua ukakuta kasafiri
Hivi Mkuu hakuna fundi anayeweza kumodify hiyo mashine ya 75000 akaweka kamota kadogo kakuendesha?
Kama kuna mtu namjua fundi anayeweza kufanya hicho kitu anijuze tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.