Ngoja wajifurahishe tu, Mwakasege Mungu alimpa kazi maalum ya kulisha kondoo wake kwa njia ya neno la Mungu ndiyo maana aliacha kazi nzuri tena za kimataifa na kufanya kazi ya Mungu.
Ni hawezi kamwe kushawishika na siasa kwenda kugombea ubunge ambao kwanza utamshusha kiroho chake, maana hawezi...
Naomba wenye data mbali mbali za Lowasa azitoe miongoni mwa watu nilikuwa nawakubali ni huyu jamaa kwa namna hii akija kuwa raisi wapinzani watanyanyasika sana tangu leo nimemtoa mawazoni mwangu kwamba eti ni raisi ajae Mali zote alizo nazo kumbe ni za ufisadi tu.
Ndiyo zahanati iko mtoni mbele ya ofisi ya kata kama unaenda masai camp Zack alisema watafanya mabadiliko ofisi ya kata itaenda kule zahanati iwe paleilipo ofisi ya kata maana pale gari haingii.
Diwani wa kata ya Olorien ambaye pia ni Meya wa Jiji la Arusha toka uchaguzi wa 2010 amesababisha Jiji la Arusha kuwa kwenye migogoro mingi, tunakumbuka Januari 5 2011 kuna watu waliuawa kwa risasi.
Pia katika kata ya Olorien amekuwa akilalamikiwa kwa matumizi mabaya ya pesa kuna zahanati ya...
Jana jioni ccm walibeba chokoraa wenye marungu na mapanga walijaa fuso ukionyesha alama ya V wanakushambulia wanapiga watu lakini polisi hawachukui hatua yeyote.
Ninavyofahamu band hii iko Arusha nakumbuka enzi hizo wanaimba mji ule unameremeta umepambwa maua,iende mbele Injili,Africa. Kweli band ndiyo ya kwanza Tanzania kabla mziki wa injili haujachakachuliwa sasa hivi ni biashara tu. Mtu anaimba apate pesa si huduma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.