Mchange sikiliza mdogo wangu, hata kama utaratibu haukufuatwa lakini mi nadhani umepoteza legitimacy kutoka kwa majority ya wanachama wenzako.Nasema hivi kwasababu practicaly (no theoretically) Chama imara hujangwa na watu wanaoaminiana, wanaoshirikiana, wenye maono (focus) moja.
Najua utakuja...
KWETU SISI WANANCHI WA KAWAIDA NDO TUNAAMINI KUWA chadema WANAMANISHA WANACHOKISEMA.
ENDELEENI NA SPEED HIYO HIYO SISI TUPO NYUMA YENU. ALUTA....................................
wananchi wa Tanzania wanataka kuona MAPACHA watatu wanakamatwa, wanafikishwa mahakamani, ushahidi unatolewa(upo) na mapacha watatu wanahukumiwa.
wananchi hawako tayari kuona mtu anaye wapigania(Mbowe), anakamatwa huku mafisadi wakidunda vifua mbele na kuendelea kutoa maneno ya kashfa mbele ya...
Kipimo cha gamba walilovua ni watz, hivo tunaomba ccm waende kwa watz ili tuone km watz wanaweza kuwapokea km wanavopokea cdm.
Laana ya watz inawatafuna ccm, na ss wanatapatapa, tuwaache watapetape mwisho ni muda si mrefu ccm itazikwa, maana imeshakufa.
Kujitumbukiza kwa TENDWA katika vita dhidi ya CDM hakutasaidia kuiponya CCM mahututi kama hii bali ni kupunguza siku za uhai wake.......kama anaipenda CCM heri akae pembeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.