Ahsante kwa and iko Zuri.. Lakini pia kuna haja ya kuangalia suala la usiri wa taarifa hasa uendeshaji wa mashitaka na kesi mahakamani ili kulinda utu wa mhanga wa vitendo vya ukatili. Ama sivyo kuwe na utaratibu wa kuwa na package ya Counseling kwa wahanga wote ili kuwaweka sawa kiakili.
Ndugu yangu mtoa Post, Mpaka mwaka 2010 Wazambia walikuwa na sarafu ya 50kwacha ambayo ilikuwa sawa na Tsh. 15(kwacha ikiwa rate ya juu sokoni),
100kwacha ilikuwa Tsh.30,
kwacha 1000 ilikuwa Tsh.300, kwacha
Kwacha 10000 ilikuwa Tsh.3000
Alipoingia Michael Data Mwaka 2011 aliamua kuondoa sifuri...
East African Eagle... Chunga mdomo wako, Magufuli alitaka kutuletea dhahama kwa kusema Sadam Hussein aliuliwa na Walibya, then na wewe unataka kutufarakanisha na majirani zetu kwamba wanaweza kutuvurugia Uchaguzi wetu. Hizo nchi jirani ulizozitaja raia wao baadhi wamo humu JF na wasingependa...
Kuna wakati mwingine inalazimu ku-log in ili kusahihisha uwongo na udhandiki. snn usemapo wazambia walifanya makosa kuchagua upinzani una uhakika na hilo? Nimeizunguka Zambia na niko kwao sasa, kasi yao ya maendeleo ni kubwa ukilinganisha na Tanzania. Kwa mfano, mshahara wa mwalimu wa shule ya...
Omary Badwel ameendeleza tabia yake ya "Rushwa" wakati huu akiwa mtoaji wa rushwa kwa wanachama wa CCM ili wampigie kura katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama, usiku wa kuamkia jumamosi zaidi ya 40Mil. Ziligawiwa kwa wanachama ili wampigie kura. Tunaomba kamati ya maadili(CCM)...
Wana Jf. Naomba mwenye idea ya wapi hizi mashine zinapatikana kwa bei nzuri kwa hapa Tanzania, plz tuwasiliane haraka hapahapa au kwa PM au kwa +260973050218. Msaada wenu tafadhari.
my hometown, kwa halihalisi ilivyo, CCM wanahitaji nguvu ya ziada kuwezapata hata mtaa mmoja. CDM na UKAWA kwa ujumla wamejizatiti na wananchi wanawaunga mkono.
kama una utayari wa kuvuka mpaka, njoo kwa jirani zetu wazambiani, hiyo fedha zinafunguliwa ofisi mbili ambazo zinaweza kurejesha fedha yako ndani ya mwezi mmoja tu. Zaidi ya hapo ni kutengeneza faida. Ni PM kwa info zaidi
kama uko serious, njoo tufanye partnership kwenye kijimradi. Mtaji wa 5M. Unatosha kutengeneza fedha ya kutosha. Unaweza kuni PM au nitafute kwenye +260973050218
Nimewachunguza kwa making, ni kwamba hawaharishi. ila kuna MTU kanishauri kuwapa Vitalyte kwamba inawezekana wakawa na upungufu wa vitamini, lakini pia nimeshauriwa kuwapatia OTC + na Esb3
Mwana Jf. Nina vifaranga wa wiki tank sasa, wamepatiwa chanjo Tatu mpaka sasa, chakula na Maji wanapewa cha kutosha na joto lipo lauhakika. Kinachonishangaza ni vifaranga kuzubaa ghafura na kuishiwa nguvu kisha kudondoka navkinachofata ni kifo. msaada wa tiba plz, niokoe japo vichache
wana Jf nimeikuta hii toka FB kwa Dennis Mponji Jr.
Anasema
Wanaume wengi huogopa
wanawake wasomi kwa
kuamini kwamba wasomi
wana dharau na majivuno.
Inawezekana jambo hili
likawa na ukweli kidogo,
kikubwa hapa ni malezi
aliyopata mwanamke husika
maana wapo wanawake
wasio na elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.