Viwanja vipo Mapinga Mjini
-Kilometa 2 toka Bagamoyo Rd
-Kilometa 6 toka Bunju
-Vimepimwa na utapata hatimiliki
-Eneo limeendelea sana
-Kuna majumba ya kifahari
-Kuna mahotel
-Si mbali toka baharini
-Mandhari nzuri sana
BEI: TSH 22,000 KWA SQM
Kuanzia sqm 717 hadi 1,541
BEI ZA MAPINGA
Bei...
Kampuni ya Makazi Investment Ltd inauza;
Viwanja Fukayosi mjini
Viko Fukayosi Bagamoyo
Kilometa 30 toka Bagamoyo mjini kuelekea Msata
Mita 500 toka kwenye lami
Jirani na mnada wa Fukayosi
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba: 0713565999 / 0767565999
Nashangaa sana mnapomhukumu Lema mchaga wa Machame au Msigwa Mnyalu wa Iringa ambao wanaishi Tanzania ya waswahili ilhali mnashindwa kumshangaa Wenger,Mourinho na wengine wengi wanaoishi pale pale Uingereza tena kwa muda mrefu tu na bado kiingereza hawakiwezi...kwani kuzungumza kiingereza kwa...
Hivi neno bei nafuu ni la kukera?...Basi samahani labda kwa kutokujua kiswahili vizuri sikulitambua hilo...umenielimisha na nimekubali...kuanzia sasa nitalitumia kwa wale tu ambao haliwakeri...pole sana kiongozi
Ni sawa kwa kumaanisha kuwa urefu wa miguu ni makadirio hivyo miguu 20 kwa 20 ni makadirio but vipimo halisi ni mita 16 kwa 16,16 kwa 32,32 kwa 32,32 kwa 48,32 kwa 64 nk
Mkuu nafikiri wewe una yako mengine...mimi nimeweka bango la biashara yangu sasa ni jukumu lako kuangalia umeguswa vipi...ukiona ni bei kubwa sawa ukiona ni affordable karibu...na hata mimi nikiona vile viwanja vya Mbweni vinavyouzwa milioni 300 huwa nakaa kimya tu kama vile havinihusu...sina...
Kutokana na eneo husika...na ndiyo maana hata sisi kwa eneo kama Mvuti tunauza sqm 1 kwa Tsh.4,000...kumbuka kuwa viwanja vyetu haviko maporini kama mlivyozoea kuuziwa...viko swhemu ambazo tayari zilishaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.