Kama kuna shule au taasisi au mtu binafsi anahitaji mfumo wa kwa ajili ya ofisi tuwasiliane
kupitia contact zilizopo kenye website http://www.mjimpya.epizy.com
Kwa demo jinsi mfumo huo unavyo fanya kazi ingia,
username= visitor
password=visitor
Baadhi ya masomo page zake nimezificha na kuna...
Wanajamii,
mimi nimesoma degree ya kwanza bsc education (math).nimepata nafasi ya kusoma masters ya computer science. Napenda sana maswala ya computer sasa naomba mnishauri thamani ya coz hii katika maisha yangu ya baadaye.nashukuru
Kama wewe ni msichana wa umri tajwa hapo juu tuwasiliane kama unataka kuolewa mwaka huu lakini uwe mwenyeji wasingida au tabora kabisa,uwe tayari kupima,uwe tayari kutumia muda wako kujua ukweli wa mahusiano yetu na mambo mengine kama haya.uwe mrembo ili watoto wetu wasije wakachelewa...
muda umeniishia kabisa na ninatakiwa kupeleka proposal kwa wakuu sasa nisaidieni. mfano wa problem ni kama vile Student perception toward mathematics at university level.ikiwa ni msaada nitafurahi na kushukuru sana aatakaye saidia, akitaka chochote pia twaweza ongea lakini nimefulia mbaya mazee...
ndugu zangu nisaidieni key VODA MODEM IMEI 356517032175203 ,model k3565-z, voda phone mobile connect.ZTE corparation.(nawashukuru sana DANSEL,AMBILI,na Drphone kwa ushauri wenu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.