Wakuu nilikuwa natumia yo whatsapp, nimepigwa ban kama inavyoonekana hapa chini.
Namba hii ni muhimu sana kuwa whatsapp.
Nitumie ujanja gani kuifungua?
Mimi ni mwalimu wa masomo ya Biology na Agricultural Science.
Jinsia yangu ni F.
Nina Bachelor of Science with Education in Agricultural Science and Biology kutoa Sokoine University of Agriculture (SUA).
Nina uzoefu wa kufundisha masomo tajwa hapo juu japokuwa nina uwezo wa kufundisha...
Wakuu Kiwanja kinauzwa.
Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele.
Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa.
Ukubwa ni 20 × 20.
Bei ni 5.5M. Haipungui hata mia.
Kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, mi sio dalal.
Kama unahitaji, comment hapa...
Habari wakuu!
Naomba kufahamu kama hizi kozi mbili zina tofauti au ni sawa ( Clinical medicine na Clinical Officer).
Je ni nzuri kusomea kwa level ya Diploma?
Salaam wakuu!
Naomba kujua ni shule zipi bora kwa masomo ya Physics, Chemistry na Biology (PCB) kwa A-level.
Mwanafunzi ni wa kike, kwahiyo shule inaweza kuwa mchanganyiko au girls tu.
NB: Nahitaji shule za binafsi (private).
Salaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
Wakuu naomba mwenye tangazo la hizi kazi za MDAs & LGAs anisaidie.
Hizi nafasi za kazi usaili wake wa written ulishafanyika na tangazo lake lilitoka mwaka jana.
Naomba ambaye analo anipe wakuu. Natanguliza shukrani.
Salaam wakuu.
Huyu ni mtoto wa kike, amehitimu kidato cha nne.
Naomba ushauri asome course gani au fani gani inayoendana na ufaulu wake na ambayo hatokwama kupata kazi baada ya kuhitimu. Sitaki aende A- level ( form 5 & 6).
CIV - C.
HIS - C.
GEO - C.
KISW - C.
ENGL - B.
PHYS - D.
CHEM...
Habari wakuu!
Ninafanya biashara za kuchaji simu, lakini bahati mbaya sijabahatika kupata charger nzuri zinazovumilia na kuchaji haraka (heavy duty).
Naombeni ushauri ninunue charger brand ipi na nizipate sehemu gani hapa Dar?
Shukrani.
Salaam wakuu!
Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi ni flat.
Natanguliza shukrani.
Ni freezer aina ya Syinix.
Lita 263
Ni used lakini kama mpya.
Haijawahi kuwa na tatizo wala kutengenezwa.
Inapatikana Dar es Salaam.
Nauza tsh. 500,000 au kama una friji ya kioo (show case) exchange inakubalika.
Nawasalimu wanajukwaa.
Simu aina ya Vivo imeingia kwenye Child Mode, nikijaribu kuitoa inataka niweke screen lock password wakati sijawahi kulock kwa password na wala sina hiyo password.
Nikienda "Forgot Password" inaleta niweke nitoe jibu la security question wakati sijawahi kuset hiyo...
Ndugu zangu nauza TV mbili.
1. Boss 32".
Hii imetumika kama miezi miwili. Iko vizuri kwa kila kitu lakini tatizo lake iliungua taa, mara ya kwanza nilitengeneza ikakaa sawa lakini ikaungua mara ya pili nikaachana nayo nikanunua nyingine.
Kwahiyo tunaweza kusema inaongea ila haioneshi sabau taa...
Nawasalimu ndugu zangu.
Nilinunua TV aina ya Boss lakini sasa imenichosha, kila siku inaungua taa.
Nataka sasa kununua ya kampuni moja wapo kati ya Samsung, Sony au TCL.
Sasa je kuna TV feki? Nitazitambuaje?
Mficha maradhi kifo humuumbua. Hivyo ndivyo navyoweza kusema kwa sasa.
Mwenzenu ni mwaka wa pili sina ajira tangu mkataba ulipokoma kule kwenye kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.
Mimi ni mwanaume mwenye shahada ya kwanza (Degree).
Nina uzoefu wa muda mrefu katika kufanya kazi mbali mbali...
Ndugu mwana Jukwaa hili, ninajaribu kujenga picha kichwani ya kamjengo hata nikikajenga miaka mitatu ijayo.
Picha niliyonayo kichwani inaendana na ramani hii niliyojaribu kuchora hapa, japo roughly.
Naomba maoni yako, wapi parekebishwe, kipi kikae vipi.
Kutakuwa na choo cha nje pia.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.