I like that. Wabunge wetu wa chadema kumbukeni kua taifa linawaangalia tena linategemea sana michango yenu ili kuweka taifa letu mahali tunapopataka. Japo mpo wachache ila watanzania tupo wengi muamin kua sauti zenu ndio sauti za watanzania.
Kiukweli... Nchi inahitaji kichwa cha Dr.slaa peke yake. Tusiendelee kuwapamba hawa wala nchi eti walifanya ya msingi, hebu jiulize kwanini walijilimbikizia mali za walipa kodi wenye kipato cha chini na kusahau maslahi ya taifa? Lowasa hatufai hata kwa chumvi,wala sukari... Na wanatakiwa...
Mataka kwanini usikilize kelele zinazoumiza kichwa. Mkiendelea kushabikia sana haya mambo mm ntawaita ndo waasisi. JK Aliropoka cc cha kufanya ilikua ni kupga kmya na kumuona mpuuzi tu. No need of dat debate tena. Let em go
kwa ufupi kabisa ccm hawakua na GAMBA bali ule ni UKURUTU ambao uliletwa na matendo yao machafu yalokua yakifugwa tangu ccm imechukua nchi. M nadhan kwa uchafu huo ulokithiri suluhu haikua kujivua gamba bali kunywa sumu wapotee kabisa kwny ramani then wasubiri kuzaliwa upya na jina jipya...
Ni hali ambayo imemuacha kila mtu domo likiwa wazi baada ya kugundua kwamba CCM ilipandikiza wagombea wake 4 ambao katika hao wawili ndio wamefanikiwa kupitishwa na screening commette ambayo nayo haikua ikiaminiwa kbs na wanachuo kwani nayo iliaminika kuwekwa kwa makusudi ya kuhakiki CCM...
jana wananchi wengi wa dodoma tuliokusanyika nje ya ukumbi wa bunge tukisubiri kuingia ndani ya mjengo kutoa madukuduku yetu juu ya mswada wa kuunda katiba mpya ambao kimsingi unanuka madudu tupu. tuliambulia kupigwa mabomu ya machozi na kukimbizwa kana kwamba sisi ni wageni na sio...
Nimesikitishwa sana,nimekerwa sana,nimeshangazwa sana na serikali kwa suala lake la kukata mishahara ya baadhi ya watumishi wa umma eti kisingizio ni kua walikosea ktk mahesabu yao ya house benefits.... Huo ni urongo tena urongo ulovunja ungo. Sidhan km kuna ukweli wowote hapo zaidi ya kufanya...
Gosbert ujue kinachofanyaga hadi mtu anaamua kuingia ktk hizi kitu ni uelewa wake na ni kiasi gani hayn mambo yanamgusa. Kwa muslim swala la kudhihaki uislam anahaki ya kukuua na ni thawabu kwa mumgu wake ila kwa christian hata uki2kana dini yake hawezi kuua coz biblia imesema usiue. Hvo to...
Yani hata mimi nilijua kabisa lazima hao wendawazimu watajipongeeza kwa upuuzi wao walioufanya ila kwa taarifa yao ni kua harakati ndo kwanza inaanza..... Shame on them.... m''''fck:disapointed:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.