Basi ndugu zangu nisiwachoshe na tusichoshane.iko hivi baada ya kataa ndoa kijipatia point tatu kwangu maana sijui nielezeje ila ndoa yangu ishajifia, nikafanya harakati za kutafuta mahusiano mapya yatakayokuwa rasim huko siku za mbele ila bila ndoa.
Nikamtokea binti fulani baada ya mazungumzo...
Mwezi mmoja nyuma nilipatwa na hali ya kuumwa kwa, kuchoka mwili na homa ile ya watu wazima mwili hauchemki ila kwa mbali unajisikia hovyo, nikaenda maabala, nikapima mkojo, tyiphoid na malaria mara nyingi ndo magonjwa yanayonisumbua sana haya nikakutwa na typhoid na mkojo mchafu malaria haipo...
Naweza kufanyaje hapa kurudisha namba yangu kwenye mfumo?
Nimepoteza groups,na kumbukumbu nyingi tu, kubwa zaidi namba hiyo ndo namba yenye mambo mengi Sana ya muhimu.
Ndugu wadau, ndugu wana jf.
Majuzi hapa kijana mwenzenu nilikuwa nimelala na familia yangu kwenye usiku wa saa saba hivi nikapigiwa simu na namba ngeni, kwa kuwa nilikuwa nimezidiwa na usingizi sikuweza kuisikia wala kuipokea ila shemeji yenu aliisikia ikaita, alichofanya kwa ujinga wake...
Kwa kuwa sijui Kama nimeamka vibaya au vizuri naomba niende moja kwa moja kwenye kilichonituma niulize swali hapo juu.
Kumekuwa utaratibu uliozoeleka hapa bongo unaoitwa Siri za nchi na kwanini kuwepo na usiri katika baadhi ya mambo yanayolihusu taifa?
Sasa Leo naomba wajuzi mniambie hizi...
Kama kawaida JF ndo kisima changu pekee cha kuchota maarifa elimu na Mambo mengine mengi mno ya msingi, hivyo mniwie radhi kwa swali langu lingine hili.leo nataka kujua sheria za Vita zikoje maana Kuna mahali nilisoma sikumbuki Ni wapi mdau alikuwa anasema kwamba Vita havipiganwi kiholela Kuna...
Nahisi hata kupasuka kwa hasira hapa.
najiona kabisa ile roho ya MAGUFULI. Ya kutotaka utani na sumbufu kaniridhisha Mimi.
Yaani Niko disappointed na hii Tabia ya story, simulizi na riwaya za JF kujaa mizengwe na mazingaombwe.
Kwanza huku mtaani maisha ni magumu balaa, mtu unashinda kutwa...
Wakuu poleni Sana kwa msiba huu mkubwa.
Kabla sijaenda mbali naomba nichukue wasaa mchache kumtakia Safari njema yenye kheri huko aendapo aliyekuwa rais wetu mpendwa JOHN POMBE MAGUFULI.
Baada ya hapo naenda moja kwa moja kwenye ombi kwamba wapi naweza kupata mjumuisho wa hotuba zake tangu...
Wakuu....
Mwenzenu Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu nimejikuta naamka na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
Usiku wa kuamkia leo, kwenye saa nne hivi baada ya kupitia mitandao ya kijamii Kama kawaida yangu, usingizi ukawa umenizonga, nikaweka simu kwenye chaji na kuvuta shuka ili...
Wakuu mniwie radhi kwa uandishi mbovu,
Mwaka 2013 huko nilinunua viwanja vitatu, kimoja karibu na mji viwili nje kidogo ya mji,..kwenye hiki kiwanja Cha karibu nikajenga nyumba na ikafika wenye lenta nikashindwa kuimaliza kutokana na ghalama za uezekaji kuwa kubwa nikaiacha hivyo hivyo mpaka...
HABARI za asubuhi marafiki! Ni siku ya jumanne ya tarehe nne…. Na hakuna kingine ukishaona maandishi haya asubuhi basi ni kipengele adhimu na bora kabisa cha YA-WALIMWENGU.
Leo nina haraka sana, ngoja niwapeleke moja kwa moja katika chakula chetu cha leo.
Na leo nipo kuwachambua wanaume...
Ndugu wadau
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye shida yangu, tarehe 24/2/2020 Kama familia tulipata msiba wa kuondokewa na MZEE wetu aliyetangulia mbele za haki kwa kifo Cha ghalfa.
Sasa kilichonifanya nije hapa mbele yenu kuomba msaada wa ushauri ni...
Haya mambo ya kuwaambia watu wanywee nyumbani, ukilewa unaweza kumshika beki tatu tako mkeo akiuliza unafanya nini? Unajibu kwani we ndo meneja wa hii bar?
tunaokunywa Kisha pombe zikakimbilia kichwa Cha chini safari hii tumepatikana nawaambia.
[emoji855][emoji855]
Sent using Jamii Forums...
Kiburi, dharau, kauli chafu, ugomvi, ubishi na kero nyingine nyingi saaaaana vyote vya kwao.
Nasubiri ajifungue huyu akirudia kufanya mawili au matatu kati ya hayo niliyotaja namrudisha nilipomtoa.
Naiona February ya mwaka huu iliyosheheni neema kwa upande mmoja huku ikiwa imejaa sintofahamu kuuubwa kwa upande mwingine.
Ok tuangalie upande wa mema na tumshukuru Mungu muumba wa vyote wakati huo huo tuangalie kwa tahadhari na upande mwingine uliojaa sintofahamu, mishangao, hamaki, na...
Kwenye hotuba ya Prof. Kabudi ameelezea kuwa baada ya kutumwa kazi Canada na ikaonekana kumshinda aliandika barua ya kujiuzulu ila kabla haijafika sehemu husika akatokea huyu Kasimili Simba Kyule akamnyanganya na kuichana.
Ukisoma body language ya Kabudi ni kama vile analalamika/hana ubavu wa...
Wakuu.
Heri ya mwaka mpya 2020. Pamoja na kwamba bado dakika chache tuingie mwaka mpya 2020 nimeona sisi Kama binadamu wenye mapungufu tufahamishane/tukumbushane tabia ambazo mtu hutakiwi kuvuka nazo toka mwaka mmoja kwenda mwingine, kwa lugha nyepesi namaanisha tabia ambazo lazima zifanyiwe...
Wadau naombeni ushauri nimchukulie hatua gani za kisheria mtu huyu anayetumia jina langu na sain kwenye nyaraka zake za kuombea pesa kwa wafadhili? Iko hivi mwaka 2016 nikiwa mwanachama hai wa ngo's fulani hapa mjini tulifukuzwa uanachama kutokana na kulalamikia makosa ya uongozi uliokuwepo...
Ndugu wanajukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye jambo husika lililonileta kwenu.
Ni kwamba mwanzoni mwa mwaka Jana kuna ndugu yangu aliungua ugonjwa wa uti wa mgongo tukampeleka hosipitali akapona lakini akawa hasikii vizuri, tukapewa dawa za kutumia nyumbani, cha ajabu siku zinavyoenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.