Kuna mmoja kashindwa kuuelewa uzi kaishia kulalamika ni mrefu sana kumbe kazoea simulizi za kimalaya malaya.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mwandishi nakushukuru sana sina mengi ya kuongea kuonyesha namna niliyofurahia simulizi yako ila pokea hizo shukran.
Naenda kwenye uzi wa shetani na mke wake sasa
Watu wamezoea simulizi za kimalaya malaya zisizo na faida yoyote.
Hii simulizi ukiisoma vema utagundua mambo mengi sana yanayozunguka maisha ya binadamu katika picha isiyoonekana.
Bahati mbaya kuna watu mnasoma kama burudani na kina mini tunasoma kama kuongeza maarifa ya mambo fulani fulani na...
Mkuu Hades wa visiwa vya jf, tunaomba ikikupendeza leo tupe kurasa kama tano za andiko la hii riwaya ili tupate kuvuna nishati ya kutosha ya mbingu na roho zetu.
🤲🙏
Wanachofanya ni kihodhi umiliki wa account husika kisha wanafanya yao, mhusika anakuwa hata hajui pia access ya kuingia kwenye account yake anakuwa hana mnamjulisha kwa sms za kawaida kuwa kuna picha za unyevu kapost viungo vimechomekeana
Msamaha umepokelewa endelea kuutafuta ukweli na uzoefu huku ukijifunza.
Kwenye maisha ya ndoa ni watu 2 tu kati ya 100 wanaoweza kukwambia wanaishi kwa amani
Hata hawa kataa ndoa kama ushawakwaza kwa namna moja au nyingine watumie chochote kama ishara ya kuungama.
Kati ya jambo ambalo.mimi naona haliwezi kunishinda kiasi cha kutafuta mteremko ni kupata mwanamke wa kuoa au kubanjuana nae.
Inashangaza sana kuona umekosa sasa unataka wajilete wenyewe
DED unaishi na binti wa miaka 16 kama mfanyakazi wako sio umri wa kuwa shule huu??
Swali langu la kwanza hili mimi kujiuliza.
La pili wawe na mahusiano yaani hata miaka 18 bado binti awe na mahusiano na boss wake tena mteule wa rais.
HAPANA KUNA SHETANI HAPA KATI.
Utopolo qenye akili wawili tu chief.mtu anaandika maneno mengi kumbe hoja zenyewe hewa.sasa hivi mitaani uto wanajifanya eti wanaiheshimu simba kwa lipi hawa au bangi?
😁😁😁😁😁😁
HAKUNA DERBY YA SIMBA NA YANGA TENA.
Ni mechi ya kawaida hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.