Ni kweli mwaya, ukiwa na uhakika wa mahitaji yako yote ya muhimu na ya ziada ile raha tuu hata bila ya dudu unakojoa...yaani anaweza kukushika nywele tuu ukafika peponi na kurudi, owwh!!
Ntawasalimu baadae maana niko hoves,[emoji31]
Tanesco hii namba yenu ni kwa ajili ya matumizi yapi, 0748550000?
Mnakwaza uuwii, ngoja kwanza ninywe maji!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]kama wa mtaani kwetu daah!!!
Kiufupi huku kwetu wanaume ndio wambea kuliko wanawake, yaani ukitaka umbea we mguse tuu kijana wa kiume, utashangaa!!!
Inasikitisha aisee, maana ndio wanaume hao ambao ndio "kichwa" cha familia... Yaani nikiwaza hivyo nasema wanawake/wake kazi tunayo na watoto wetu[emoji56]
Labda mtaani kwenu mkuu, huku kwetu npaka tumeamua kukopa mageti ili tu kuepuka kero zao,. Yaani asubuhi ukiamka wao wapo mpaka unajiuliza hawa jamaa hawana makwao jamani hawalali?? Ni masaa 24 siku 7 za wiki mwaka mzima,uuwwii wanatia kinyaa aisee chaaa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.