Ata pata tu watu waroho wa mali na kuwaingiza mkenge. Walengwa hapa ni watu wa majuu.
Nakumbuka usemi wa Boss wa Casino kule Las Vegas, US kwani nini wanatengeneza pesa za kamari kiulani: "There is a sucker born every minute".
Kwa hiyo Julius K Nyerere Jr. atawapata ma-suckers wake kiulani na...
Huu ni ujinga, uwezi kuwajumuisha watanzania katika hilo, na hizi ni chuki za binafsi sasa zimekuwa kama ugomvi wa kike usio kwisha. JK akienda nje- kelele, akinyamaza -kelele, akijibu hoja- usanii, akiteuwa watu -anapendelea., akifungua shule ya watoto wa kitanzania - kwanini kenda kufungua...
Mjomba ukweli unabaki palepale kuwa wewe ni kilaza, sasa hiyo quote inayoifanyia "sound bite" ili upindishe ukweli inakosa gani? Je unajua kitu kinachoitwa self-esteem, sasa unajua pale wale watoto kutokana na kutembelewa na Raisi wengine wemeshaweka target ya kuwa viongozi wa kesho? Man, I'm...
Wewe kweli ni kilaza, huoni kuwa nimekuwa sarcastic (nakukejeli) kutokana na ufinyu wako wa kuchambua jambo haraka. I was talking to you metaphorically not literally......Wewe endelea tu kupenda vya dezo, oh , serikali inipe hiki mara kile mpaka unataka serikali ifikirie kwa ajili yako, you are...
Ntakunulilia hiyo miwania pia kwani una-uduni hata wa ku-analyze issue ndogo sana, oh, unataka serikali nayo ikupe msaada wa miwani pia, mvivu mkubwa wa kufikiri na kujituma....
Oh, umeshindwa kuupata ujumbe, sioni ajabu kwa kilaza kama wewe, kila paragraph inajitegemea kilaza, sasa wewe kwenye quick reply thread ulitaka niandike classic essay (heading, introduction, body and conclusion!), sioni ajabu ndio nyinyi mnaojifikiri m-mesoma kumbe ukilaza mtupu.....
You 're doing a heck of job Mr. President......Thanks.
Note: Please Mr.President, Man up, and stiff your back bone, sometimes you let us down by looking weak and allowing things run out of contorl, we want you to be a commander -in- chief not a negotiator -in- chief.
Wengi humu mmekalia kuropoka na kukandia mpaka thread yote inaonekana ni ya kipuuzi na kijuha....... Hii thread ni upuuzi kweli sasa hakuna la kuzungumza.....
Bush atambelea shule ya watoto na kuwasomea hadithi ya mbuzi huku 9/11 inatokea.
Obama na Michelle kila mara wanaonyeshwa wakiwa mashule...
Wewe acha utumwa wa mawazo sasa kujita VAN HELSING ndio unafikiri umesoma, jina ni jina tu sasa kuitwa BUSH ni bora kuliko Barack hussein Obama? Sasa kula nguruwe na kulewa na kubaka watoto wadogo makanisani ndio ustaarabu na elimu sio?
If you can't stand the heat stay out of kitchen.
Its all about, either you are with us or against us. The cops are with gov. so Mzee Ndesi is an enemy in their eyes.
The cops used the tactic which I always employ in the battle.....If you bring a knife I bring a gun and I escalate from there...
Hakuna tofauti kubwa kwa hiyo Radio na thread nyingi za uchechezi humu JF za wakristo za kukebehi, kudharau, kudhalilisha waislamu.... Sasa wameshastuka jasho kwenu, si mnafikiri nyinyi ndio wenye elimu haya sasa wacha wakuonyesheni.
Haya malumabano nafikiri Watanzania watakuja jijutia. Ni kupoteza muda wa kufanya mambo ya maana ya maendeleo. Sasa unafikiri kwenye mkanda "documentary" ya Slaa unategemea kuona nini zaidi ya mauwaji ya "Soweto". Yeah, tunanyanyaswa kweli kama vile tuko chini ya makaburu!....Hizi zote ni gemu...
Mjomba hiyo ndiyo freedom of speech, sasa kama kuna makala ukuipenda na una data za kuwakosoa kuwa wanachosema si kweli nawe unatoa makala yako na kupinga hoja zao kutokana na facts ulizokuwa nazo, sio kuleta udikteta wa kufungia usivyovipenda wewe, sasa wengine wasiopenda mwananchi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.