Wanasiasa hususani Tanzania tunaitazama demokrasia kwa jicho moja, mfano "unapotaka na ukabaniwa utasema hakuna demokrasia, lkn hatukumbuki upande wa pili kuwa unapotakwa na ukabana pia umenyima demokrasia"
Demokrasia ni katika kuheshimu uhuru wa mtu mwingine kusema ama kutoa maoni yake bila...
Hivi karibuni trafiki kadhaa wamebadilishiwa vitengo ama kufutwa kazi ya utrafiki kwa vigezo visivyo sahihi kwani vilizingatia zaidi kushuka kwa mapato yanayotokana na faini za barabarani.
Ki msingi kigezo cha kushuka kwa mapato hayo ni matokeo mazuri ya juhudi iliyofanywa kwa makusudi na jeshi...
Maandamano makubwa yametokea jioni ya leo kata ya iganzo baada ya uongozi wa wilaya kurudisha jina la mgombea udiwani aliyekuwepo mh. Uswege, sintofahamu hiyo imepelekea wapenzi na washabiki wa CHADEMA kwenda office ya wilaya na kumuona mh. SUGU ili kuweka shinikizo la kutaka wilaya ibadili jina...
Katika sintofahamu inayopelekewa na siasa za kukosa uvumilivu ambayo ndiyo sifa pekee duniani kwa mwanasiasa kuvumiliana na kugombana kwa hoja iliingia doa na hatimae kikao kuvunjika baada ya madiwani wakiongozwa na wahemiwa kutoka mwakibete, ilemi, sinde, na nsalaga (danger coy cdm) na kwa...
Katika hali isiyoya kawaida ni mapanga , mapanga yakipita kwa walinzi na kikundi cha watu wasiopungua watatu na wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 23-30. katika wiki mbili mlinzi akiwa ktk lindo lake alivamiwa na vijana hao na kumkata mapanga vibaya na mpaka leo hii yupo hosptal akiwa bado...
Mabango yaliyosisimua wasomaji katika maandamano ya wafanyakazi mbeya ni kama ifuatavyo;
WALIMU WALIKUJKA NA MPYA KWA KUSEMA " FUKAMA KWA MAANA YA " FUNDISHA KADIRI YA MALIPO"
PUNGUZA MISHAHARA ONGEZA KODI YA MAPATO
MISHAHARA DUNI NI JANGA LA TAIFA
Kuna taarifa za kuuawa kwa mtu mmoja na wengine kutoroka kutoka kata ya itagano mbeya mjini kwa tuhuma za kukutwa katika harakati za kutaka kuiba watoto wadogo na gari yao kupata ajali mbaya wakiwa ktk harakati za kukimbia. wenye taarifa kamili tunaomba mtujuze
"Ukiona mtu nyumbani kwake kajenga ukuta mrefu na mageti mazito UJUE ni mwizi na kimsingi anahofu ya kuvamiwa na aliowazulumu haki yao" nenda msasani kwa mwalimu hana ukuta huo wala geti na kimsingi hakuwa na hofu na wala hakuwahi kuwazulumu watu. - prof chachage
Katika moja ya kile ambacho...
Kwa taarifa za hivi karibuni ni kwamba halmshauri ya wilaya mbalali mambo si mambo tena kwani lile diri la kutumia zaidi ya shs bilion mbili za miradi kwa kugharimia posho limegeuka kuwa dirisha, baada ya PCCB na POLISI kuvamia offisi za halmashauri leo mida ya saa tano hivi na kuwachukua...
Ilitokea siku moja mkinga mmoja mfanyabiashara alipigiwa simu na ndugu yake aliyekuwa amesafiri kwenda mnadani kumtaarifu kuwa amepata "breakdown" ndipo huyu mfanyabishara (mtaarifiwa) anamjibu mwenzake kuwa kama hiyo breakdown inalipa aibebe asiiache.
Kuna rafiki yangu aliitwa kwenye usaili na mara alipomaliza offisi iliona anafaa na hivyo kumwajili, siku ya kwanza tu ya kuriport kazi alipaswa kusema angependa alipwe sh ngapi kama mshahara wake. aliishia kusema anachojua yeye kapata kazi na kuwa haoni kipi kinazidi kazi na kuwataka mgt waamue...
Jioni hii live tbc waziri tibajuka anena kiprofesa.
Maneno ya nguvu kuwa
"hakuja nyumbani kutoka un ili aje kupambana na maskini bali kaja kupambana na umaskini"
kupitia J/F ninaomba wataalam mtusaidie nini haswa tatizo kwa halmashauri zetu? kuendelea kuwa tatizo na hata baada ya reform kubwa ya kuanzia mwaka 1999 kufuatia local gvt reform policy ya 1998. kinachonifanya niendelee kuwa na wasiwasi ni kufuatia kushindwa kutimiza wajibu wake, kama vile...
Chama cha mapinduzi mkoa wa mbeya kimejikuta matatani baada ya kutumia nguvu na katika madhingira ya kutatanisha katika hatua yake ya kutaka kuwaondoa wapangaji katika jengo lake la ilipokuwa sukita mkabala na office za TRA mbeya. habari za kuaminika ni kuwa aliyekuwa katibu msaidizi na mhasibu...
Naomba kupitia jukwa (jf ) kumbusha mbunge na diwani wangu juu ya ahadi zao ukuachana na ahadi za mh Rais (jk) kwa kuzingatia kuwa zilikuwa za kitaifa zaidi na za jumla jumla.
Mimi ni mkazi wa kata ya Iganzo, mtaa wa Iganzo, Jiji la Mbeya, Mh. diwani wangu anaitwa F. Uswege na mbunge wangu ni...
Ndugu zangu naomba maoni yenu kwa hali hii iliyokithili kwa wateule wa rais baada ya kuteuliwa kufanya sherehe ya kujipongeza wangali wakijua majukumu waliyopewa ni mazito na hasa ukizingatia matatizo ya wananchi waliombele yao.
Hivi karibuni wa mheshimiwa mr ii amekaririwa akifananisha jeshi letu la polisi na lile la mkoloni hasa kwa makombati wanayovaa, na amesema walistahili kuvaa kwa mfano wa dactari, air hostess, nk;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.