Ukisikia udicteta ndiyo huu watu 27 wamekaa na kuja na waraka unaopingana na matakwa ya wanyonge ambao wamekuwa wakinyonywa mda wa miaka nenda rudi. Watu hawa wamefanya haya kwa nafasi zao ili hali tunaona kanisa likikengeuka, Manisa limegeuka daraja LA kuvushia madawa na uasi was ikiwemo...
Yericko Nyerere Kaka Yeriko usitumie nguvu sana kimsingi Sheria no 7 hiyo uliyoitaja ni kwa halmashauri za Wilaya na imejikita zaidi kwa Ardhi ya Vijiji na ndiko mabaraza haya ya kata yanakopaswa kuwapo na suyo katika urban council kwa mama ya manispaa, miji na majiji.
Kwa misingi hijo mh...
Msigwa kwa uongo huu na mitusi hii ndiyo maombi??? Acha upuuzi mwenzako kaumia sana nilitaraji utakuwa mfariji ktk kipindi hiki kigumu lkn naona wewe umepata jukwaa LA kuongea siasa ulizozoea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.