Wakuu ni siku nyingine tena
Watoto wadogo hasa wa umri kuanzia miaka 0 mpaka 5 wanakua wanapitia changamoto ya kupata maradhi ya mara Kwa mara na Kwa kua ni wadogo hawawez kuzungumza basi wanakua na hali ya kunyong'onyea na Kulia wakati wote na pengine usijue tatizo hasa ni kitu Gani
Wakati...
Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku
Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa
Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana...
Unapokuwa na mwenza mwenye tabia ya kuchukia chukia kila wakati yaani jambo dogo ameshakasirika wakati mwingine ni jambo la kawaida tu lakini yeye amechukia/amenuna hataki umsemeshe kuvimba yaani ni taflani.
Na sio mara moja yaani mara kwa mara tabia hiyo amekua nayo mpaka kuna wakati ladha ya...
Habari wakuu.
Unapokuwa katika kipindi kigumu cha kukosa pesa mkeo nyumbani uwa anakutazama vipi huwa anaikubali hiyo hali mnaishi nayo au ndo mtu wa kuzila na kukusanya vilago kama huyu wa kwangu make naona subira yake ipo kwenye vingine sio pesa.
Hebu tupe mtazamo kwa huyo wa kwako.
Ni eneo la muhimu sana la kudhibiti utumiaji kwenye utoaji wa pesa ambazo wakati mwingine unakuta hakuna ulazima wa wewe kufanya hivyo kwa sababu ya kukuza nidhamu yako ya uwekaji wa kipato chako kwa ajili ya kesho yako
Swali ni je linapokuja swala la kutoa fedha kama mtu anakuomba na unafahamu...
My PC inataka kuactivate window but nikitumia window loader kuactivate inazingua sana inaniletea Maelezo mengi kwenye ile notepad sasa nimeshindwa kuelewa nifanyeje msaada wakuu nafanyaje
Ni clip flan ambayo ina maneno flani ya kusisimua sana kuhusu mapenzi na imetamkwa kwa lugha ya kiingereza
Huwa inaanza hivi:-
Its hard to love someone and not to be loved and return but what more painful is to love someone and never find the courage to let that person know how you feel
May...
Wakuu habari zenu
Kusema ukweli mtindo walioutumia serikali kuajiri walimu wapya haukufuata haki kabisa hili lazima niliseme mchana kweupe kuna walimu wengi sana wamemaliza mwaka 2015 waliosomea ualimu wa primary na kuhitimu hao ni zaidi ya elfu 10 na kitu lakini pia kuna walimu wa sekondari...
Hellow habari zenu
Nimeanza kujifunza kutengeneza beat miezi kama mitatu iliyopita nimetengeneza beat kadhaa zikiwemo hizi ebu nipeni ushauri wenu kitu gani kinamiss kufanya beat ikawa poa zaidi mana bado sijajua vitu vingi
Mnakaribishwa kwa maoni mubashara
Wakuu habari
Nimedownload kaspersky antivirus hivi punde sasa inaniambia niistall tena .net frame work 4.0 baada ya hapo ndo ipogress sasa nimeidownload imefika mahala imestack aiendelei tena nimesubiri na kusubiri naona iko pale pale
Alafu hii so Mara ya kwanza kuna baadhi ya software...
BAADA YA KUTOA USHAURI KWA BINTIE, BABA HAKUMUACHA NYUMA KIJANA WAKE WA KIUME ALIMPA BUSARA ZIFUATAZO KATIKA KUTAFUTA MKE.
Mwanangu kwa unyenyekevu mkubwa napenda niwe mkweli kwako. Usiweke kipaumbele kuoa mwanamke kwa kuangalia size ya makalio yake au size ya maziwa yake ila jali sana size ya...
habari wakuu
kama kuna yeyote atakayekuwa na serial key za fl studio 12 anisaidie nimeidownload jana imekuja kama demo version inahitaji key naipenda sana hii program coz napenda sana kujifunza utengenezaji wa beats
natanguliza shukrani za dhati
Kwa wale wanaofatilia tamthilia hii kupitia azam too, binafsi nimetokea kuipenda sana tamthilia hii ya kiindi kwani ina mafunzo mengi juu ya maisha ya ndoa hasa mwanamke kuwa mvumilivu katika mahusiano aijalishi unapitiA changamoto gani
Aaliya mwanamke jasiri, mvumilivu, mcha mungu na mwenye...
Natumia desktop Acer nahitaji kuinstall Bluetooth niwe naitumia kwenye kuplay nyimbo kwa kutumia sub woofer ambayo na yenyewe ina Bluetooth nimejaribu kudownload nimeistal nkaja kugundua ile ni ya laptop za lenovo ikashindwa kuonekana
Nisaidieni namna ambavyo naweza kufanya ili kuinstal...
Habari zenu wakuu
Simu yangu imekuwa na tatizo ya kudownload up automatically alafu zinahitaji Uzi install ukicancell zinarud tena nifanyaje kuzuia hili lisijitokeze manake zimekuwa zikinimalizia bando langu la mawazo natumia HTC M8
Kingine ni matangazo matangazo ya ajabu ajabu yan mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.