Bajabiri, huyo swaiba wako mtanga lazima kamba avutie kwake....mie sio mchaga wala mtanga, so niko neutral na naongea kutokana na experience, mwanaume wa kichaga keshanidate lkn mtanga bado, I wish ninge experience na hilo ili nijue ukweli.....tehe
Hahaaa, @Tama, nimekusoma ila mi nakerwa na wanaume wote ambao wanapenda tu malavidavi na misosi wanasahau kama mwezeshaji wa hayo mambo anatakiwa kutunzwa na kuenziwa......hata wanawake wanapaswa kuwacare wanaume lkn mwanaume ana role ya kipekee zaidi
Shost, wala sio kupenda kuhongwa! Mwanaume hayuko responsible huyo, yani nina mfano alisia kabsaa, mwanaume wa kichaga hata kama demu wake ana kazi lkn ana act kama baba kiukweli, atafanya kila awezalo kutake care home stuffs....sio kama nawatetea sana hapana, mwenye mwanaume mchaga aongee hapa...
Hushangai ukimtuma mwanaume wa kitanga anunue mahitaji ya nyumbani anakuja na nyanya 2, vitunguu 2, tunda moja au mawili, mafuta ya chakula yakupima kama ya jero hivi , loh nisitaje sana, kitoweo ndo kabsaaaa, mwanaume kama huyo nitampeleka wapi mie, halafu anapenda kula vizuri na sana tu, hivi...
First lady , yeah tungoje, @UPOPO kama sio wote lkn ndo zao sio, unajua mwanaume ambae hayuko responsible kwa dem au mke wake inaboa sana, hata kama mwanamke ni bilionare lazima mwanaume ndio akesh counter baada ya kujichana, hata kama anatumia ela ya mwanamke wake, kama ni kweli wanaume wa...
Pamoja na hilo la kuzaliana, wachaga wako juu, wasomi, wasafi, heshima, mchaga asipokuwa na mkewe au mmewe home basi wako kwene makulaji, pombe na nyama, so lovely, kwanza wachaga waaminifu sana, ushawahi kuona maskendo ya ajabu ajabu kwa wachaga? Na uchagani kuna mababy face balaa, tuseme tu...
Eti wanaume wa tanga mradi wakishapata malavidavi na kula vizuri baaaas! Hawajui kingine, wabahili, wanapenda kutafuta wamama wenye ela zao ili. Kukwepa majukumu au wasichana wenye kazi ili wasicare , wanakera hao, waige mfano wa wanaume wa kichaga bwana, atabalance mambo yake ili apate...
Aisee nyie watu mnachekesha, mwanamke wa kichaga kwanza msafi, heshima iko juu, mapenzi yake yanathaminika bana, anakumbeleza mpaka unasema bas mama, na kama ww mwanaume wa kichaga pia unayejua kucare unamtunza mpaka bas, yaan wanawake wazuri wa kuoa ni wachaga ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.