Kuna dhana imejengeka kwa baadhi ya wana chama katika chama chetu cha chadema kuwa viongozi wamekijenga chama zaidi kuliko ya wanachama hii si kweli, chama chetu kimejengwa na kila mwanachama kwa kadili alivyojaliwa.
Nikili kuwa Mimi ni mmoja ya watu walikijenga chama kwa nguvu zangu zote hadi...
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja.
Hii itasaidia kujenga nidhamu ndani ya chama. Ni bora kujenga chama upya...
Nimekuwa msaidizi katika moja ya kituo cha kupigia kura katika moja ya wilaya mkoani Mara.
Niliyoyaona ki ukweli yanatisha juu wizi wa kura. Kituo nilichosimamia kilikuwa mwambao wa ziwa Victoria, Tundu Antipas Lissu aliongoza kura katika kituo changu kwa kuapata kura 79 na Magufuli kura 31...
Ki ukweli nimeandaa safari maalumu kutoka hapa misenyi kwenda kwao (nyumbani) kwa Tundu Lissu wilayani ikungi mkoani Singida ili tu nifike nijionee sehemu alipozaliwa huyu mwamba na vilevile niongee na wazazi, ndugu na majirani juu ya huyu mtu.
Katika safari yangu hii nitabeba zawadi maalumu...
Ililipotiwa huko Kagera kuwa msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kupigwa mawe pale alipokuwa akipita mbele ya Jengo la CCM akielekea uwanjani kwenye mkutano , mwanzo nilidhani ni propaganda tu za wana CHADEMA
Jana akiwa Geita Mjini hali hiyo mbaya ya kutupa mawe...
Leo nimeshuhudia tukio la mh. Raisi kumuuliza mkurugezi wa wilaya ya sengerema swali ka takwimu tena kwa kushitukizwa bila kujiandaa, matokeo yake mkurugenzi ameshindwa kueleza kwa ufasaha, sababu za kushindwa kujibu ni
1. Maswali yote ya takwimu huwezi kukurupuka kuyajibu kwani huhitaji muda...
Siku ya ijumaa nilinunua umeme kwa njia ya simu kwa kubonyeza *150*78# umeme ulikuwa wa shilingi laki moja, nilipata bahati ya kupata SMS kuwa kuna tatizo la mtandao hivyo nitatumiwa tokeni kwenye namba ya simu ya mkononi.
Leo ni siku ya nne sijapata tokeni zangu nimejitahidi kuwapigia vodacom...
Awali sikuamini kuwa madiwani, wabunge na wenyeviti wa mitaa wanaotangaza kuunga juhudi za mh. Mkuu kuwa wananunuliwa lakini Leo ndipo nimeamini kuwa wananunuliwa.
Diwani wa kata ya nyampulukano wilayani sengerema (CHADEMA) ndugu Mnwanis amejiuzulu nyazifa zake zote ndani ya chadema na...
Jana niliitwa na mh. Vedastus KamanduCHADEMA) mwenyekiti wa mtaa wa kisima cha chumvi katika halmashauri ya Ssengerema. Lengo lilikuwa ni kunieleza jinsi alivyoitwa na mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole ili ajiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa mtaa na ajiunge na chama...
Watumishi wenye elimu ya darasa la saba walio ajiliwa kabla ya mwaka 2004 nao wameondolewa rasmi katika mtumishi wa uma, awali katibu mkuu mtumishi alisema kuwa hawataondoa watumishi walioajiliwa kabla ya mwaka 2004 wenye elimu hiyo lakini sasa wameondolewa rasmi. Nimebahatika kuona barua...
Nimelipia fedha TANESCO ili niunganishiwe Umeme tangu tarehe 5.6.2016 na nilihahidiwa kuunganishiwa Umeme ndani ya siku kwa kuwa nguzo ipo karibu na Nyumba yangu.
Leo ni Siku 78 bado sijapata Huduma hiyo, nimefanya jitihada za kufuatilia ninaambiwa hakuna vifaa stoo na hakuna maelezo ya ziada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.