Hahaha uzalendo my foot. Yaani wewe unaambiwa hatuna scale za namna hiyo unaendelea kusubiri raisi akupe ruhusa urudi??? Kama ni uzalendo ungekubali hicho kidogo kuisaidia nchi yako badala yakutaka more. Kwanza the most angemvumilia mzee wa Msoga for 2 months then quit. Eti ndio mtu yuko...
Huwezi kutoa ufafanuzi wa kisheria kama huna all the facts. Naona anayeweza kufanya hivyo kwasasa ni mwanasheria wa serikali na huyo dada. Kuna vitu vimeachwa kwenye taarifa hiyo kwa sababu maalumu.
Mshahara upi Sasa na yeye aliukataa ule wa mwanzo akabaki kwenye negotiations for 3yrs. Kama hakusaini pesa zozote je mshahara wake ni upi hasa? Na kama alikuwa anasafiri, anahudhuria vikao, etc alikuwa anachukua hiyo posho?
Exactly na Mgimwa Junior alivyoulizwa kuhusu Ile rripoti ya Waingereza akasema yeye hajui "baba"ndio aliyekuwa anajua. Sasa sijui alishinikizaje papers ziwe signed Bila kujua details.
Hapana mtoto wa Mgimwa ametajwa kwenye taarifa Ile ya Waingereza pamoja na Shose. Sio sikuona Jina lake Lakini anaweza kuwa amehusishwa kwenye uchunguzi zaidi. Ila mtoto wa marehemu waziri wa fedha ni Mgimwa na Sio Sioi.
Sidhani kama hilo Lita kaa litokee. Kwakipindi kirefu sana Mama Asha ameonekana kama ngazi zote alizopita alibebwa "viatu v ilikuwa vi kubwa mno kwake". Je uteuzi huu ndio umetili seal ya lile lililokuwa mioyoyoni kwa watu au ni uchaguzi wake mwenyewe. So far namuona Migiro kama Mwalimu mzuri...
Sidhani kama watu hawajui hilo; nafikiri most comment zina-reflect what you said indirectly. Ni uwakilishaji tu wa ujumbe unatofautiana na sio kushindwa kufikiri. Wengi wamejiuliza; kama ni swala la utumishi basi angerudi kufundisha. At the end of the day, yeye ndio anajibu la uhakika kwanini...
Kwa mtizamo wangu vijana wanaupungufu sana kwenye "people skills" ingawaje ni wazuri kwenye :working skills" . Mfano Makonda ni mchapa kazi (hard worker) lakini hana (people skills) ndio maana anakwaruzana na watu often. Sidhani kama anafanya makusudi. I think yeye na vijana wengi tu wanaitaji...
Exactly! Kwa namna nyingine tutasema mtu anakuambia "You are not good enough this is what you deserve " na wewe unakubali. Simlaumu Magufuli; labda kweli anaona Asha Rose uwezo wake ni wa kuwa balozi. But Asha Rose Kwakweli kukubali hiyo post kunazua maswali sana. Sijajua ni legacy gani hasa...
Hii ya Asha Migiro naona bado anazidi kuwa demoted kutoka post aliokuwapo mpaka ubalozi? Kwakweli naona kama angeweza ku-apply kazi at international level akapata. Sijajua shida ni kutojiamini au ni nini hasa? Bado hana umri wa kustaafu.
Mama Migiro you can do better, usisubiri kuteuliwa...
Inawezekana mkuu, lakini kila tip ni muhimu kuifuatilia, ufanyike uchunguzi wa kina then kama niuzushi we loose nothing. Better to be safe than sorry. Kila tip ni muhimu ikafanyiwa kazi.
Huyu mama alikuwa ana report kwa nani miaka yote? Na kama alikuwa si mtendaji mzuri kwanini wakubwa wake walimu acha miaka yote? Je ni sababu alikuwa anashirikiana nao vizuri kwenye uhujumu? Maswali ni mengi mno kuliko majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.