Hello wadau wa JF, mimi ni mwanafunzi wa chuo. Kuna suala nalifuatilia na ili ilkamilike kwa wakati inahitajika niwe na pesa kama milioni moja na laki mbili. But this time sina pesa kabisa.nimejaribu mbinu nyingi sna kutafuta fedha hiyonmeshindwa, nimeona bora nije humu labda naeza kupaa...
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji amemtaka Rais Magufuli apunguze utumbuaji majipu. Adai inadhalilisha Watumishi wa Serikali
Alisema pamoja na kuwa CHADEMA wanaunga mkono kitendo cha kuwashughulikia mafisadi pamoja na watumishi wasio timiza majukumu yao ipasavyo lakini hawako tayari...
Hoja zako hazina mashiko
Yalisemwa hayo tangu chuo kilipoanzishwa ile 2014,watu walisema kwamba hakitamaliza hata miaka miwili.
But chuo bado kinasonga mbele na hadi sasa kina wanafunzi wa certificate,diploma na degree.masters iko njiani.
So hizo ni kauli za kukikatisha tamaa chuo hiki.
Elimu...
Taaifa mpya nikwamba zimamotowametangaza kufuta lile zoezi la usaili,zaidi ingia kwenye hii link
JESHI LA ZIMAMOTO LIMEFUTA ZOEZI LA USAILI LILILOPANGWA KUFANYIKA TAREHE 20/04/2016 | MTILAH BLOG
Moro nipo hapa maeneo ya modeco, ofisi zako ziko maeneo gani brother,please niwekee namba yako nikutafute coz ninashida sana na hizo ishu, yangu 0658303252. 0684855018
Hellow guys, habari zenu wana JF,
Jamani nimekuwa interested sana kujifunza masuala ya video editing na masuala mengine yanahusiana na designing, So naomba kufahamu kama kuna short course yeyote naweza pata kuhusu masuala hayo, hasa kwa hapa Morogoro ambapo nipo sasa.
Hata kama online kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.