Shida inakuja kupeana kaz kwa kujuana watu weng wenye ueledi na kazi hawakupa nafasi etc unaweza usiwe na academic certs na ukafanya vzr zaidi ya mwenye anazo e.g msajili laini anaweza kufanya kazi kwa 100% next time serikal ichunguze kwa makini binafs sina academic certs kwa sababu mnakumbuka...
Naombeni msaada au mwongozo tafadhali ,
mwaka 2019 nilimwajir rafk yang wa kijjn kwenye mpesa yangu hapo kijjn kwet nikaondok kwenda nje ya nchi ila cha ajabu mwaka huu mwez wa 4 wamefanya tukio kijjn kupelekea kutaftw na polis akaondok na kila kitu changu cha mpesa na lain bdo inatumik...
Nili apply TILL ya M-Pesa mwaka jana mwezi wa 6 kwenye duka la Vodacom desk nikaambiwa baada ya miezi mitatu kutokana na umbali wa duka nlienda kuangalia kama tiari nianze biashara nkaambiwa wamegoma Vodacom HQ (MAKAO MAKUU) wanataka utumie kitambulisho cha taifa.
Mimi sikua nalo ikaabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.